ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nyie tumewapiga zaidi yaoderby ya mchongo, derby wakati hao mnajipigiaga tu mnavyotaka hata mkiweka kikosi cha tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie tumewapiga zaidi yaoderby ya mchongo, derby wakati hao mnajipigiaga tu mnavyotaka hata mkiweka kikosi cha tatu
Kuna watu wanajaribu kuikuza lakini wapiDerby iliyopo Tanzania ni ya Simba na Yanga tu. Hiyo ya azam ni mchongo tu
Wewe unashindwaga Nini kuwafunga iyo hat trick Kama ni derby ya mchongo? Mbona uwa wanakupelekea moto mpaka unaomba mpira uishe?derby ya mchongo, derby wakati hao mnajipigiaga tu mnavyotaka hata mkiweka kikosi cha tatu
Derby ni moja tu hakunaga derby mbili wala tatu.Sopu alitufunga kwenye mechi ya derby? Rudia kusoma tena Uzi uelewe unamaanisha Nini! Sopu alitufunga 3 akiwa coastal union, tokea lini coastal union na yanga ikawa derby???
Alafu bado Azam wakicheza na Simba utasikia derby.Kuna watu wanajaribu kuikuza lakini wapi
Mhasibu feki CPA ya mboga2 aka kilaza.acha muhasibu OKW BOBAN SUNZU atuelezeeee
Wanajaribu kumtengenezea derby na yeyeAlafu bado Azam wakicheza na Simba utasikia derby.
We jamaa huna medulla, zamoyoni ashawahi watungua Uto Tatu na hukufikiria Sopu ashawahi watengua 3 Uto tena juzi kati tuSina iyo kumbukumbu labda mwenye nayo atujuze, hat trick kwenye derby sio jambo la kitoto eti ni mpaka uwe Bora aswaa na uwe fiti kwa 100%.
Mchezaji aliyekamilika atapimwa kwenye mechi ngumu Kama hizi za Yanga na Azam, ama Yanga na Simba, maana ni mechi ambazo uwezi pewa nafasi na mpinzani utambe unavyotaka ukibahatisha kuscore labda kagoli kamoja na kenyewe uwe umefanya kazi ya ziada!
Sasa Mwamba wa wagadugu Stephen Aziz key Leo KATHIBITISHA kwamba ni level nyingine, ni kipaji plus uwezo plus akili kubwa ya kuufanyia mpira uuone Kama vile ni mchezo rahisi tu, alijitafuta na amejipata na uyu ndiye yule aliyekuwa Asec mimosas!
Kufunga hat trick unaweza kwenye mechi za wakina coast union ama mtibwa sugar na sio derby wazee!
N:B KAMA KUFUNGA HAT TRICK KWENYE DERBY BASI MWAKAROBO TUNAWASUBILIA KWA HAMU MUIVUNJE REKODI YA MWAMBA WA WAGADUGU[emoji2785][emoji2785][emoji2785][emoji360][emoji360][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
We mbumbumbu acha kudanganya watu, kwanza costal hana Derby na Yanga, Zamoyoni Mogela nakukumbuka katika uchezaji wake wote akiwa simba aliwahi kufunga goli moja tu dhidi ya Yanga katika sare ya 1-1 Yanga ilisawazisha kupitia Abeid Mziba.We jamaa huna medulla, zamoyoni ashawahi watungua Uto Tatu na hukufikiria Sopu ashawahi watengua 3 Uto tena juzi kati tu
Akili zako zimejaa kamasi wewe mbumbumbu, umesoma Uzi vizuri? Uyo sopu alifunga kwenye mechi ya nani na Nani? Tokea lini mechi ya coast na yanga ikawa derby? Na uyo zomoyoni unayemsema iyo hat trick alifunga miaka mingapi imepita? Ndio maana mnaferi mitihani ujasoma swali vizuri unakimbilia kujibu🚮🚮🚮We jamaa huna medulla, zamoyoni ashawahi watungua Uto Tatu na hukufikiria Sopu ashawahi watengua 3 Uto tena juzi kati tu
Typing ya kimbumbumbu hii Azamu wawe tawi la YANGA kuanzia lini?Waulize wenzio, Azam wamekuwa tawi lenu kama ilivyo SBS. Derby inahitaji ushindani wa kweli kati ya timu husika
Hata hivyo Zamoyoni hajawahi kufunga hizo goli Tatu zaidi ya kibadeniAkili zako zimejaa kamasi wewe mbumbumbu, umesoma Uzi vizuri? Uyo sopu alifunga kwenye mechi ya nani na Nani? Tokea lini mechi ya coast na yanga ikawa derby? Na uyo zomoyoni unayemsema iyo hat trick alifunga miaka mingapi imepita? Ndio maana mnaferi mitihani ujasoma swali vizuri unakimbilia kujibu[emoji706][emoji706][emoji706]
Ni Nini labda?AZAM vs YANGA nayo ni derby? Mbona hili neno derby linatumika vibaya?
Wanajaribu kumkuza AzamAZAM vs YANGA nayo ni derby? Mbona hili neno derby linatumika vibaya?
Kuwaelewesha Mbumbumbu lazima uvute bangi kali sana iliyochanganyika na kinyesi ndipo utaendana nao sawa, la sivyo jiandae kuhisi njaa kali sana.Sopu alitufunga kwenye mechi ya derby? Rudia kusoma tena Uzi uelewe unamaanisha Nini! Sopu alitufunga 3 akiwa coastal union, tokea lini coastal union na yanga ikawa derby???
Makolokolo SC ni mapoyoyo sana, Bado yanajisahaulisha jinsi Aziz Ki alivyomtesa kipa wao Manura kwa shuti kali la faulo.Hakuna kitu Cha ajabu hapo maana Goli la Feitoto CCM Kirumba bado halijalipwa! Dogo alifumua shuti kutoka katikati ya uwanja hadi goli na ndo hapo mlifanya figisu dogo asicheze tena mpira wa kiwango! Leo Feitoto alipuyanga tu!
Goli la Kibu lilifungwa Yanga wakiwa hawako mchezoni baada ya Simba kufunga goli la kwanza la kimagumashi kwa kuanzisha kona bila filimbi ya refa mkivizia wachezaji wa Yanga wanapokea maelekezo ya refa!
Mwambieni Kibu afunge tena kama ataweza mbele ya mwamba Bacca ambae hakucheza siku Ile!! Mnajisiiifu wakati hakuna cha ajabu pale!