Sina lengo la kukashifu dini, ila Walokole mna kelele sana

Sina lengo la kukashifu dini, ila Walokole mna kelele sana

Status
Not open for further replies.
Kwa sababu tumememuaibisha shetani na malaika zake ukiwemo wewe. Moto wetu hauzimwi na wala hautazimwa na chochote hapa duniani mpaka Yesu anarudi kuja kuchukua kanisa lake. Nakushauri uokoke tu na kumkabidhi Yesu njia zako, vinginevyo unapoteza muda tu kupiga vita watu waliokombolewa kwa damu ya Yesu
Nachekaga sana na hizi.maneno yenu...
 
halafu wengi wao ni watu waliokata tamaa na wasio nambele wala nyuma!
Pia ufahamu au shule zao ni ndigo sana ndio maana wanaishia ktk nyuma za utapeli lkn wao wakiziita ni 'makanisa'
Hamjui mtendalo, Mungu awarehemu
 
halafu wengi wao ni watu waliokata tamaa na wasio nambele wala nyuma!
Pia ufahamu au shule zao ni ndigo sana ndio maana wanaishia ktk nyuma za utapeli lkn wao wakiziita ni 'makanisa'
Ukimwona mlokole wa hvyo kama unavyosema ujue kuna mahala au vile anavyoenenda bado sio sawa Mungu ni mwaminifu ukimtumikia kwa Uaminifu ukienenda sawasawa na maagizo ya Neno lake kuna mabadiliko makubwa yataonekana ikiwa nje na ndani pia iko hvyo
 
Kwan kuna maombi yapi na yapi
Kuna maombi ya shukurani haya maombi yanaweza kuambatana na furaha ndani ya mtu baada ya kupata au kuona majibu ya jambo aliloliomba (b) kuna maombi ya kupeleka haja yaani mahitaji yetu mbele za Mungu hii uambatana na hali ya unyenyekevu mbele za Mungu na pia kuna maombi ya vita dhidi ya kila aina ya yaribifu unaojitokeza ndani yako au ndani familia yako au ndani ya kanisa pia hayo maombi ni lazima ukemee mzee maana ni vita katika ulimwengu wa roho hautakiwi kuanya ustaharabu unapomwondoa adui ndani yako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom