cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Ukiona usiku wote huo unashindwa kulala kwa sababu ya maombi ya walokole utakuwa unashida ya kifamilia wewe sio bure kama sio shida ya kidunia mbona wengine tunalala hata pakiwa na vigodoro mtaani wala hatujali... kwa ushauri tu ukilala usilale na stressMkuu acha kabisa kweli wanakelele kuna mtaa mimi hama miaka miwil nyuma mzee wanasali saa usiku saa 6,saa 7 na saa 8 kelele hadi unashindwa kulala