Sina lengo la kukashifu dini, ila Walokole mna kelele sana

Sina lengo la kukashifu dini, ila Walokole mna kelele sana

Status
Not open for further replies.
Kwan kuna maombi yapi na yapi
Serious unataka kujua kuna maombi yapi na yapi?
Mwanao alishawahi kulazwa na kuwa mahututi kabisa?
Ulishawahi kuhisi uko katika hali ya kufa?
Ulishawahi kupoteza kila kitu chako, hata kuhofia tu?
Ulisha wahi kukosa tumaini la kuishi?
MUNGU NDIO ANAYETOA HAYO YOTE, NDIO MAANA TUNAOMBA KWA KULIA NA KUOMBOLEZA ATUPE HAYO.
 
Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.

Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.

Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
Ndio hatuwezi jibu unalo.
 
Serious unataka kujua kuna maombi yapi na yapi?
Mwanao alishawahi kulazwa na kuwa mahututi kabisa?
Ulishawahi kuhisi uko katika hali ya kufa?
Ulishawahi kupoteza kila kitu chako, hata kuhofia tu?
Ulisha wahi kukosa tumaini la kuishi?
MUNGU NDIO ANAYETOA HAYO YOTE, NDIO MAANA TUNAOMBA KWA KULIA NA KUOMBOLEZA ATUPE HAYO.
Maombi ni maombi..omba kwa kunyenyekea ns kupiga magoti
 
Kwakweli siwezi kushangaa swala la uwepo wa speaker katika sehemu ya ibada kwasababu hata misikitini speakers zipo, Catholic, Anglican, Orthodox kote huko kuna speaker. Mantiki yako ipo kwenye point yakuwa hiyo ni residential area na uwepo wa kanisa mahali hapo unasababisha environmental noise hapo sawa.
All in all ni uwepo wa sera mbovu ambazo zimepelekea makanisa kuwepo katika maeneo ya makazi. Fanya uchunguzi hili utaligundua. Sasa sijui una maoni gani, kwamba unategemea wapunguze makelele wakati hiyo ndio style yao ya kusifu, kuabudu na mahubiri?[emoji851]
Ukiwa na Afya hivi unajikuta unaongea kwa raha kuhusu environment Noise, hahahaa.
Siku ukikosa uzima ukakaribia hali ya kufa ndio utajua kwann mnaotuita walokole tulikuwa tunalia. All in all srmeni vyovyote, mkumbuke Tunamlilia Mungu atuokoe.
 
Nilifikiri ungefurahi kuona na wengine wanapata neema ya Japo kusali comfortable km wewe badala ya kuponda
The issue msipayuke payuke kama mko club..unasali huku unaruka ruka juu ili iweje? Why usipige magoti ukamlilia Mungu wako? Mnasaligi mnaruka ruka michaka michqka mnaboaa balaa
 
Nina jirani yangu mdada mlokole, akianza mikelele huko ndani kwake ni balaa, akianza tu mumewe anatoka nje kumpisha.
 
Ukikata roho nafsi yako ikaacha mwili
Ukaonyeshwa sehem inayokustahili
ndio utajua whether walokole/wewe Nani alikua sahihi.
Hivi hamsikilizi hata shuhuda?
Waulizeni ndg zenu walioko ufalme wa giza wawaambie walokole Ni kina Nani.
MTI WENYE MATUNDA NDIO HUTUPIWA MAWE.
 
Madhani tunachukulianimani kiulimbukeni!!
Kelele za makanisa haya yaliyojengwa kwenye makazi ya watu ni shida sana.

Majumbani humu tuna watoto na wagonjwa.

Kelele hazina ratiba, hadi usiku wa manane.
Mara kuna mtu mkoja analala kanisani, yuko peke yake anatumia vipaza sauti!
Ili mradi kutwa kucha kuna vurumai!

Dah!
Serikali iingilie kati!!
 
ni kweli kabisa, japo pia inategemea unaomba maombi gani
Mwokozi wenu alisali dua zote kwa kicho, na kwa utulivu (mlimani, baharini, hata bustanini na msalabani).
Hadi mapepo aliyakemea kistaarabu.
Nyie Wazee mnapayuka kinomaaaaaaaa!!! Afu ubaya, mnayoyapayuka hamyajui maskini mweee
 
Ukikata roho nafsi yako ikaacha mwili
Ukaonyeshwa sehem inayokustahili
ndio utajua whether walokole/wewe Nani alikua sahihi.
Hivi hamsikilizi hata shuhuda?
Waulizeni ndg zenu walioko ufalme wa giza wawaambie walokole Ni kina Nani.
MTI WENYE MATUNDA NDIO HUTUPIWA MAWE.
embu toka hapa na wewe ehhhh!!!
mtu aliyekufa haoni!!!

na sio kila aombae hupata rehema.

hivi nyie machalii kanisani mnaenda kujifunza au kupayuka payuka?

afu kheri walokole wa zamani angalau walikuwa wanalijua neno, nyie wa siku hizi embu mliliieni Muumba wenu awafundishe jinsi ya kuabudu.
 
Mimi ni mkristu. Ila naunga mkono hoja ya jamaa, hawa wenzetu walokoke ni washamba mno. Azana za msikitini hazina kelele kihivyo
Bora za misikiti zinaenda kwa mda. Yani unajua kabisa mda flani ni azana. Sio hawa wakristo wenzetu ni makelel tu nonstop [emoji119][emoji119][emoji119]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Usiombe hayo makanisa yawe karibu na unapoishi ,hutalala wala kupumzika ni kerooooo
 
Mimi ni mkristu. Ila naunga mkono hoja ya jamaa, hawa wenzetu walokoke ni washamba mno. Azana za msikitini hazina kelele kihivyo
Aisee tema mate chini ,waislamu wanapiga kelele kwa siku mara tano,vp kuhusu baa? Jamani katiba inasema kila mtu Ana haki ya kuabudu vp kuhusu hayo masabufa kwenye nyumba za kupanga zinazopiga rusha roho? Tuheshimu imani za wengine pia

Vp kuhusu wanao chuma udi,ubani nk mbona tunawavumilia? Mtuvumilie tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom