Wewe umeelewa nini, tufafanulie,na wapi walipoandika ukiwa unasali upige makelele na kuliasiku zote maandiko yanavyoandikwa sivyo yatafsiriwavyo sidhani kama umeelewa hivyo vifungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeelewa nini, tufafanulie,na wapi walipoandika ukiwa unasali upige makelele na kuliasiku zote maandiko yanavyoandikwa sivyo yatafsiriwavyo sidhani kama umeelewa hivyo vifungu
Adhana huchukua dk 2 hadi 3 kwa siku tuna vipindi 5 vya swala 5 mara 3 utapata jibu mwenyewe ni dk ngapi ninyi hamna mchana wala usiku si siku za kazi wala weekend jibu unalo ila unaleta ushabiki tu jiulize kwanini malalamiko yanayohusu walokole ni mengi kuliko yanayohusu adhana?Nyie vipaza sauti vyenu alfajiri, mchana saa saba, na jioni saa 12 na saa mbili usiku hmvisikii?
Kweli usilolijua sawa na usiku wa giza, unajua maana ya Adhana,unajua faida anayoipata Muadhini,pole sana,lakini ukweli wako Utaupata siku ukija fumba macho,Hao wanaofunga maporomondo makubwa mengi alfajiri, mchana na jion wanapga kelele mji mzima, na hao wanaokesha wanapga ma nyimbo na ugomvi na karaha na makelele ya kila namna, mbona sisi hatujasema, kwahyo kuweka ka kitega uchumi kako hapo ndo unataka watu wote wakuone wew nan, na unataka kuzuia watu wasifanye mambo yako kisa wew au?
Wana mikwara kishenzi hawa jamaa hakuna cha kanuni wala pai hapo andiko lipo wazi kabisa imekatazwa kupayuka tuombe kwa unyenyekevuLeta hapa hizo LUGHA na KANUNI ili nasi tujifunze pia.
Huyo Mungu gani anayependa kelele? Hujiulizi kwanini watu wenye maombi makali huenda mahala tulivu kama milimani? Pia tunaambiwa maombi tulivu kama usiku wa manane huwa na nguvu zaidi?Mm atanilidhani unaalalamika kwa kuvamiwa kwenye kiwanja chako kumbe sala tu ..acha kutuonea wacha watu wamlilie mungu ulitaki uliliwe wew
Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.
Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.
Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
Nani kakudanganya hivyo vipaza sauti vinanihusu?Nyie vipaza sauti vyenu alfajiri, mchana saa saba, na jioni saa 12 na saa mbili usiku hmvisikii?
Sauti zozote zinazomkera mwanadamu mwingine ni kelele, haijalishi zinahusiana na nini. Mungu muombe kimya kimya, si wote wanakubaliana na kelele zako.Kelele za kuhubiri amani na upendo si mbaya
Sio walokole tu hata waislamu nao wana makelele sana mjini hasa hasa alfajiri wanapiga sana makelele na ule wakati wanafunga huwa wanapiga sana makelele mida ya saa tatu tatu usiku ile wanaita talaweli noma saana yaani.Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.
Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.
Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
Mimi sina shida na mambo yao, ila wao ndio mambo yao wanatuletea sisi kwa kelele zao.Mambo yao waachie wenyewe...
Nakazia.Subiri utafika muda utazitamani hizo kelele na hauta zisikia!
Nilisoma ushuhuda mmoja hapa kuwa, wachawi wote huwa ni wachamungu sana ili kutake cover! Nikukumbushe tu kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha mshikadini na muamini nguvu za giza, sababu watu hao wote huongozwa na imani na sio fikra yakinifu!Wachawi wanaogopa kelele za kumuomba Mungu.
Jina la Yesu likitajwa wanajificha uvunguni.
Injili iendelee kutandikwa kwa kelele mpaka wachawi wote wanyanyue mikono juu!
watu kama nyie ndo mjengewe sanamu za ukumbusho aisee bonge la pointi mkuuNilisoma ushuhuda mmoja hapa kuwa, wachawi wote huwa ni wachamungu sana ili kutake cover! Nikukumbushe tu kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha mshikadini na muamini nguvu za giza, sababu watu hao wote huongozwa na imani na sio fikra yakinifu!
Wewe ndugu ulisikia wapi wodini zikawekwa speaker ili majirani wasikie sauti za vichanga? Hata ukiwa geti la hospitali huwezi sikia sauti za watoto. Nyie kanisani kwanini mnaweka maspeaker mtupigie kelele tusiohusika?Wodi za kuzalisha watoto hospitalini zina kelele nyingi za watoto waliozaliwa na furaha za wamama baada ya kumleta kiumbe mpya duniani.
Usije taka hii ward iwe kimya hilo haliwezikani. Ukitaka ukimya na utulive huku kabaridi ka umbali kakikupuliza, hali hiyo inapatika mortuary pekee.
Hamia huko utafarijika sana kwa utulivu.