Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allaaaaah Waakbaruallaaaaa....WAAAKBARU!!!!, Allaaaaaaaaaa Waaakbaruallaaaaaaah WAAAAKBARU....!!!!Nyie vipaza sauti vyenu alfajiri, mchana saa saba, na jioni saa 12 na saa mbili usiku hmvisikii?
naelewa mantiki ya swali lako.Na siku ya Pentekoste ilipowadia, Roho mtakatifu akawashukia na wote walipojazwa Roho mtakatifu kila mmoja akaongea kwa lugha yake mwenyewe.
Hili Nenounalielewaje mkuu?
Wachawi wapo makanisani na misikitini huko sio kwa watu kama sisi.Kama sio hizo kelele zao saa hizi ungekuwa mfugo wa wachawi au walishakufanya kitoweo mda mrefu, ni vema kutambua uwepo wao hata kama wanaharibu hiyo nguvu ya hirizi yako hapo mfukoni mwako.
sio kila kinachopaswa kutendeka lazima kiwe kwenye maandiko ndipo kitendeke,unavyosema wapi imeandikwa "ulie" kumbuka kuna wakati kinywa kinashindwa kutamka yale uliyonayo moyoni,hivyo kulia sioni dhambi kwani machozi ni sala pia pale unaposhindwa kunena, (ndiyo maana Mungu anasema yeye huona sirini)na unavyosema "makelele" sidhani kama n kelele..kuna wakati kanisa linaingia kwenye maombi ya vita so usitegemee ukimya mda huo.Ni hivyo tu labda sjaelewa kelele unazozisemeaWewe umeelewa nini, tufafanulie,na wapi walipoandika ukiwa unasali upige makelele na kulia
Kwakweli siwezi kushangaa swala la uwepo wa speaker katika sehemu ya ibada kwasababu hata misikitini speakers zipo, Catholic, Anglican, Orthodox kote huko kuna speaker. Mantiki yako ipo kwenye point yakuwa hiyo ni residential area na uwepo wa kanisa mahali hapo unasababisha environmental noise hapo sawa.naelewa mantiki ya swali lako.
Hata kama kila mtu aongee kwa lugha yake sio shida, shida hapa ni kuna ulazima gani wa kuweka maspeaker na kuwasikilizisha majirani hizo lugha zenu?
Uwa kuna Imani kwamba muda wachawi wanaenda kuwanga sasa wao wanavunja zile roho za kichawi zikeinda mitoko na Fisi waoMkuu acha kabisa kweli wanakelele kuna mtaa mimi hama miaka miwil nyuma mzee wanasali saa usiku saa 6,saa 7 na saa 8 kelele hadi unashindwa kulala
Kelele ni pale mnapolazimisha hizo saut zenu zisikike mtaa mzima.sio kila kinachopaswa kutendeka lazima kiwe kwenye maandiko ndipo kitendeke,unavyosema wapi imeandikwa "ulie" kumbuka kuna wakati kinywa kinashindwa kutamka yale uliyonayo moyoni,hivyo kulia sioni dhambi kwani machozi ni sala pia pale unaposhindwa kunena, (ndiyo maana Mungu anasema yeye huona sirini)na unavyosema "makelele" sidhani kama n kelele..kuna wakati kanisa linaingia kwenye maombi ya vita so usitegemee ukimya mda huo.Ni hivyo tu labda sjaelewa kelele unazozisemea
sawa, maana yake ni pale mtu anapokua na uhitaji wa jambo fulan basi aingie katika chumba chake cha maombi na kusema na Mungu, na katika maombi yako omba kile unachohitaji (ndo maana apo anasema msipayuke) hivyo unasema jambo unalolihitaji kama ni chakula unasema na sio unaenda kwenye maombi unakua kama unalalama ata ukiulizwa ulichokiomba ni nini hukumbuki,kwakua ulikua unapayuka na sio kuomba ndio maana Mungu anasema pia hapo.. kwamba yeye anayajua matatizo yetu kabla hata hatujayasema.[/QUOTE]Sasa bila kutoa tafsiri ya hicho kifungu, utakuwa bado hujafanya lolote ndugu.
tatizo vifungu ulivyovitoa haviendani na mada husikaBiblia sio vitendawili na siri ambazo zinatafsiriwa na "wachache" tu...
Roho ni mmoja huwatafsiria wote sawia.View attachment 1722966
ni kweli kabisa, japo pia inategemea unaomba maombi ganiHapana uwapo mbele za Mungu tunatakiwa kusali kwa kicho na adabu zote.sio.kelele kuruka ruka wee...kwamba Mungu ndo atasikia maombi yetu...
ibada hufanyika kanisani na pia vyombo hutumika hivyo sauti ni lazima kuwa juu na hata nyie wa mtaa huo mtaskia tu, vivyo hivyo sidhani kama kuna ubaya kwani kila mtu anao uhuru wa kuabudu na kufurahi pia ndiyo maana kuna makanisa,misikiti na kumbi za starehe ata apo mtaani nanyi kelele zipo tu lakini kelele za kanisa ndio mnazisikia tu,inashangaza kwakweli.Kelele ni pale mnapolazimisha hizo saut zenu zisikike mtaa mzima.
Hiyo mistari watajifanya haiwahusu, ila kupayuka lengo lao ni kuvuta watuWalokole siwapingi..,ila pale wanapoenda tofauti na huo kauli ya Mwokozi wenu nawashangaa sanaView attachment 1722961
Kwan kuna maombi yapi na yapini kweli kabisa, japo pia inategemea unaomba maombi gani
Adhana yenyewe haifiki hata dakika tano, hata kama ni mara tano kwa siku, kwahiyo jumla ni dakika 25, hata ukipiga mara wiki nzima bado haifikii kelele za usiku wao mmoja.Mimi ni mkristu. Ila naunga mkono hoja ya jamaa, hawa wenzetu walokoke ni washamba mno. Azana za msikitini hazina kelele kihivyo
Maombi gani yanahitaji kupayuka na kupiga kelele?ni kweli kabisa, japo pia inategemea unaomba maombi gani