Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

Em muache tu binti wa watu, she deserves someone better than u. Usijitafutie machozi ya laana, muache aende ambapo upendo wake utathaminiwa. Hastahili hayo anayoyapata kutoka kwako.
Ni kweli lakini sitaki adondokee kwa matapeli,lakini pia natafuta sababu kutoka kwake yeye sipati maana ikipigwa simu anaweka loudspika na kuongea bila kuficha ficha au kupuuzia simu.
Na mkiingua ndani dk tano anakuandalia matunda anaweka ndani ya frig ukimaliza kuoga tayari yana kaubalidi akienda yeye kuoga akirudi unapewa matunda mezani yakiwa yanaubaridi wa kupoza koo.yaani ni raha tu.
 
Mkuu huyo ndio mwananke material kwako ila naona unafanya booking ya matatizo.
Nilioa nimeachana na mke wangu ila nikimaliza nyumba ninayojenga peke yangu sasa hv ntamrejea.sasa nikimaliza nyumba ntamweka wapi maana nataka nibaki na mama wa mtoto wangu ambYe tabu na kero zake nilizizoea kikubwa mtoto apate malezi ya wazazi wawili.
 
Ilikuaje mpaka ukawa nae etii sasa ndo humpndi serious....utakufa njaa mjini hapa kama unajifunza kuchepuka achaa jambafffu wewe
 
Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.

Kuliko kuzunguka bora uwe direct kabisa ,Ukweli utakuweka huru..wewe mwambie ukweli tu ataumia lakini pi atasahau.Iv unaona raha gani kicheza na hisia za mtu.
 
Naona atakayekua mke wangu wa ndoa unaye wewe unamchezea sio fair
 
Kwenye miti hakuna wajenzi, endelea kutafuta mpaka upate wa kukuingiza mjini ndio utamkumbuka mchaga wako.

Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.
 
Wachaga ni wataalam wa kutake riski suala la dini kwake sio issue atabadili na atakuwa muumini mzuri kuliko wewe, muwekee mada mezani uone itakuwaje
 
Naona atakayekua mke wangu wa ndoa unaye wewe unamchezea sio fair
Nahitaji assuarance yako kabla ,kwangu mimi ilikuwa ukija pako ovyo,toka niwe nae mavumbi kwenye meza na vioo hukuti,jikoni ukuti chombo kilicholala bila kuoshwa,mashuka yanatolewa kila wiki 2,nguo zilizofuliwa anazikunja vuzuri kabatini we ukifika ni kutoa tu.actual nammkubali sana na naishukuru familia yake ya askari magereza(baba) kwa kumfunza binti yao.
 
Ilikuaje mpaka ukawa nae etii sasa ndo humpndi serious....utakufa njaa mjini hapa kama unajifunza kuchepuka achaa jambafffu wewe
Nilioa nimempumzisha mke wangu ,na ntamrejea mke wangu baada ya kujenga nyumba yangu ya pekee bila ya yeye(aliyekuwa mke).huyu sio kwamba simpendi bali namuhurumia maana sina lengo nae la kudumu na kwa jinsi alivyo sipendi ateseke wakati mimi nipo(nampenda sana ).na unaanzeje kusema ,hiyo topic hatuongeleaji na yeye ana subiri nitoe maamuzi baada ya huduma zote hizo.
 
Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.

Mbona ameangukia kwako na ww ni tapeli wa mapenzi??
 
Shule zimefungwa naona
Maisha haya huwezi jua kila kitu,kama wewe umeanza mapenzi toka una miaka nane najua utawadharau walioanza mapenzi wakiwa watu wazima.
 
Hajawahi lakini nimeanza ujenzi wa nyumba kwa mara ya kwanza naishani mwangu ananishauri vingi kama mke wangu.na vyengine huwa anaona mbali sana na kunishauri maana ana upeo mkubwa wa akili na ujanja wa kuzaliwa.
Now you know. . . . . . .
 
Hivi inakuwaje mdada wa miaka 30 unadate na kivulana teenager.
 
Dalili kama una mnadi hivi. Kakutuma umtafutie nini.
 
Is not fear kbsa kama utaweza n vyema ukalipa gharam zote alizokufanyia au ni bora ukamfnyia vitu ambvyo angalau uwe umemuacha katka mazngra fulan mazur
 
Is not fear kbsa kama utaweza n vyema ukalipa gharam zote alizokufanyia au ni bora ukamfnyia vitu ambvyo angalau uwe umemuacha katka mazngra fulan mazur
Yapo mengi maana mimi ni mfanyakazi yeye ni graduate wa diploma,vitu vingi nimempa mpaka microwave,na nimempeleka veta kujifunza gari na nampa gari yangu kwa mazoezi kwa sasa,kila mwezi nampa pocket money ya kutosha na nikienda shopping ni kama nipo na mke wangu achague chake na ananishauri mwonekano wangu kwenye nguo,na kunifanya nionejane smart kila leo
 
Kwa sababu ana miaka 30 au? So watu wa umri huo hawana real love?

wengi wao huweza kuonyesha mapenzi ya kuzuga ila wakishaolewa uhalisia wao ndo huonekana. Kwahiyo jamaa lazima achunguze zaidi kama ni tabia yake au she behaves in such a way for the purpose.
 
Back
Top Bottom