Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.

hujabalehe wewe...
mwache aende zake kama humpendi she s faithful to you , m sure anawatolea nje wengine coz of you mazafanta !
LET HER GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO !
 
we kwann ulimtongoza acha kucheza na hisia za watu wewe. Kama unajua maumivu ya moyo yanavyoumq ni bora usitongoze mwenye kujua huna mda naye. Ni vyema utembelee kimboka bar,shivaz nk
Aisee nipo mkoani ,niliwahi fanya hayo huko nyuma nilikutana na mtu ana makalio magumu kama vile amevaa jinsi kumbe ni kalio zimekomaa balaa kwa mapele na ukurutu wa ngozi ,from there niliona niache vya chap chap.
 
Don't continue waste her time.. Kuna watu huko nje anawakataa cz of you.. Muache mapema aendelee na maisha yake

Ntaandaa plan B halafu nifanyie kazi si unajua ukitaka kuruka.......
 
wewe mwenyewe ni tapeli wa mapenzi

Kuna hisia nyengine huwaweka karibu bila plan,mfano yeye anaiponda dini yangu lkn ananipenda.hanywi pombe lakini anakuambia yeye anajua mwanaume kunywa pombe ndio anakuwa poa.
 
haa haa daah hio ni hataree mkuuu kaa kapanga vipande vya mbao kumbe tako.
 
Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.
Duuh
 
Back
Top Bottom