Sina mashaka na tuhuma dhidi ya TB Joshua

Sina mashaka na tuhuma dhidi ya TB Joshua

Ajoke alitelekezwa na mama yake kakiwa kachanga.
Yaani kalitupwa uchochoroni na kuachwa na mama yake mzazi.
wasamalia walikaokota na kukapeleka Polisi.

Watu wakamweleza T.B.Joshua, akaenda Polisi akakachukua kwa maandishi na kukalea.
Akakasomesha hadi kalipogoma kuendelea kusoma.
Akakapa mtaji ili kukawezesha kujitegemea.
Huko kakaishi maisha kanayo yajua kenyewe.
Kakaolewa kakazaa watoto, na mwisho wake ndio hako kanako ongea BBC.
Labda kalitaka kapewe Urithi wa familia ya Joshua.
Hiyo ndiyo shukrani ya Punda mnayoisikia.
 
View attachment 2888142

Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.

TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.

Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.

Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho manabii wengi wa uongo watatokea na kudanganya wengi (Mathayo 24:11).

Haya mahubili ya mafuta ya upako, maji ya upako muasisi mkubwa kizazi hiki ni TB Joshua. Hawa manabii wa mafuta, maji ya upako wamemuiga TB Joshua.

Hawa manabii wanafanya Mambo machafu sana sirini. Tuhuma dhidi ya TB Joshua Sina mashaka nazo maana alikuwa nabii wa uongo.

Maelekezo ya Yesu juu ya maombi ni kwamba tuombe kwa jina la Yesu. Ukiomba nje ya hapo umepotoka.

Tusome maandiko wenyewe kuliko kulishwa matango poli na hawa manabii wa uongo.
Neno dhehebu ni dini ya shetani moja kwa moja
 
Mi nawaambieni wajumbe.
Kati ya wachungaji walio simama katika njia ya Kristo ni T.B. Joshua.

Haijalishi ni Mnaijeria watu wote ni wa Mungu.
Kumsema vibaya T.B.Joshua ni kujitafutia laana tu.

T.B.Joshua ni Binadamu na hakuna Binadamu aliyewahi kuwa Mkamilifu zaidi ya Yohana Mbatizaji.

Yohana aliamua kuishi polini msituni akila Asali na Nzige. Na kuvaa Ngozi za Wanyama.

Mnaomsema vibaya T.B.Joshua mtuambie hapa.

Ni Mchungaji gani au Padre gani mnayemwamini?

Au Papa gani ?
 
Neno dhehemu ni dini ya shetani moja kwa moja
Dhahebu ni kama unavyosikia Wakristo wa Mbagala.
Wakristo wa Kolosai, Tetholanike, Garatia, Roma, Uphilipino, (wafilipi)

Kanisa la Efeso nk.
Hiyo ni majina ya miji au mitaa au kabila flani.

Hilo ni jambo la kutambuana tu.
Ila ni lazima wawe na imani ya Kristo.
Imani ya Kristo ni kusikia Neno la Kristo tu.
Kila jambo la Kikristo ni lazima tusikilize Kristo alivyosema juu ya hilo jambo, zaidi ya hapo ni imani ya Kipagani.

Warumi (Rom) 10:17
Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.

Papa sio Mkristo.
Ni Mromani Cathoric.
Katika mji wa Roma Kuna Wakristo wanao lisikia na kulifuata Neno la Kristo, ila sio Papa.

Mathayo (Mat) 7:24
Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;

Mathayo (Mat) 7:26
Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;

Mathayo (Mat) 24:35
Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
 
View attachment 2888142

Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.

TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.

Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.

Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho manabii wengi wa uongo watatokea na kudanganya wengi (Mathayo 24:11).

Haya mahubili ya mafuta ya upako, maji ya upako muasisi mkubwa kizazi hiki ni TB Joshua. Hawa manabii wa mafuta, maji ya upako wamemuiga TB Joshua.

Hawa manabii wanafanya Mambo machafu sana sirini. Tuhuma dhidi ya TB Joshua Sina mashaka nazo maana alikuwa nabii wa uongo.

Maelekezo ya Yesu juu ya maombi ni kwamba tuombe kwa jina la Yesu. Ukiomba nje ya hapo umepotoka.

Tusome maandiko wenyewe kuliko kulishwa matango poli na hawa manabii wa uongo.
Mtoa mada tuambie hapa ni Mchungaji gani au Padre gani au Papa gani uliye mtathimini na kumwona ni wa ukweli ili tumsikilize.

Katika malumbano ya hoja unatakiwa kusema kuwa, Mtumishi Huyu ni Mwongo na Tapeli.
Ila Mtumishi Huyu ndio wa ukweli.

Unapowakosoa tu Watumishi bila kutuonesha Mtumishi wa ukweli ili tumsikilize unaonekana ama ni Mtu wa majungu tu, au ni mpinga Kristo.

Hebu kamilisha habari yako.
T.B.Joshua alikuwa ni Tapeli tumekubali.

Tuambie sasa nani sio Tapeli?
Ili tumsikilize.
Au sema tu sio mwumini wa Imani ya Kikristo.
Ili usibakie kuwa ni mpotoshaji tu.

Marko (Mar) 9:42
Na ye yote atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, afadhali afungiwe jiwe la kusagia shingoni mwake, na kutupwa baharini.

Kama unataka tumwamini Mchungaji BBC, sema tumsikilize yeye, anatuambia nini, zaidi ya mambo ya T.B.Joshua.
 
Kwani hiyo BBC toka lini ilihubiri habari za Yesu Kristo, hadi uiamini? Kwani wewe unaihitaji BBC kujua kama nabii ni wa uongo au kweli?

Ikiwa BBC imetaja nabii wa uongo, ni nabii gani BBC ilisema ni wa kweli? Biblia ilikwambia utawatambua manabii wa uongo kupitia BBC?

Kalaga baho.
Mimi nadhani kipimo kikubwa ni neno la Mungu. Kwa mfano ktk Mathayo 10:8 inasema kuwa "pozeni wagonjwa, fufueni wafu,.. mmepata BURE toeni BURE" Nabii anayeuza vipawa, au vifaa vya kiroho (spiritual items) kama mafuta, maji, chumvi, vitambaa, udongo, bila kupepesa macho huyo ni mtumishi wa UONGO.
 
Mimi nadhani kipimo kikubwa ni neno la Mungu. Kwa mfano ktk Mathayo 10:8 inasema kuwa "pozeni wagonjwa, fufueni wafu,.. mmepata BURE toeni BURE" Nabii anayeuza vipawa, au vifaa vya kiroho (spiritual items) kama mafuta, maji, chumvi, vitambaa, udongo, bila kupepesa macho huyo ni mtumishi wa UONGO.
Kumbuka hata Yesu mwenyewe Kuna siku alitumia udongo kumpaka Kipofu machoni na kumwambia nenda kaoshe katika Kisima cha Ibrahimu kilichoitwa Salom.
Ishu ni kuwa na uwezo wa kumtambua Kiroho.

Utamjuaje Mtumishi wa ukweli kama sio Mtu wa Mungu?

Hapo ndipo penye shida.
Hapo ndipo panapo kuja na Matusi na Kejeri.
 
Kumbuka hata Yesu mwenyewe Kuna siku alitumia udongo kumpaka Kipofu machoni na kumwambia nenda kaoshe katika Kisima cha Ibrahimu kilichoitwa Salom.
Ishu ni kuwa na uwezo wa kumtambua Kiroho.

Utamjuaje Mtumishi wa ukweli kama sio Mtu wa Mungu?

Hapo ndipo penye shida.
Hapo ndipo panapo kuja na Matusi na Kejeri.
Maelekezo ya yesu mwenyewe ni kwamba tuombe kwa jina lake
 
Mimi nadhani kipimo kikubwa ni neno la Mungu. Kwa mfano ktk Mathayo 10:8 inasema kuwa "pozeni wagonjwa, fufueni wafu,.. mmepata BURE toeni BURE" Nabii anayeuza vipawa, au vifaa vya kiroho (spiritual items) kama mafuta, maji, chumvi, vitambaa, udongo, bila kupepesa macho huyo ni mtumishi wa UONGO.
Umeathirika kwa kiwango kipi kutokana na utapeli wa TBJ?
 
Huwa Naona maandiko yenu ni ya kuwakashifu tu Watumishi wa Mungu.
Basi mtuambie ni nani ndio mtumishi wa Mungu aliye sahihi.?

Nasubiri Jibu lenu Manabii wa Mungu wa Nabii Musa.
 
Mmojawapo wa matapeli wakubwa kuwahi kutokea katika dini duniani
 
Umeathirika kwa kiwango kipi kutokana na utapeli wa TBJ?
Kama alikuwa anayafanya hayo niliyoyasema, basi alitumiwa na adui kuharibu injili ya Kristo. Pia amewadanganya watu wengi kama ambao wameamini ktk uongo na tunasumbuka nao kama hivi.
 
kuna mda naona kila dini ujitetea.
waislamu wanapingana wenyewe kwa wenyewe na wakristo hivo hivo.
karibu kwa mdogo wangu shetani ndio mungu kawapangia NHC kubwa kigamboni
 
Back
Top Bottom