stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Umenena vema. Sina tatizo na kumnywesha mtu mwenye shida maji ili afunguliwe, au mafunuo ya kutumia chumvi. Tatizo ni pale watumishi kuanza biashara kanisani. Mtumishi ananunua chumvi tsh 500 anakuja kuuza tsh 5000 vivyo na maji pia na mafuta. Huo ni UTAPELI makanisani.Kumbuka hata Yesu mwenyewe Kuna siku alitumia udongo kumpaka Kipofu machoni na kumwambia nenda kaoshe katika Kisima cha Ibrahimu kilichoitwa Salom.
Ishu ni kuwa na uwezo wa kumtambua Kiroho.
Utamjuaje Mtumishi wa ukweli kama sio Mtu wa Mungu?
Hapo ndipo penye shida.
Hapo ndipo panapo kuja na Matusi na Kejeri.
Hao wa kununua malighafi ndio tatizo.Umenena vema. Sina tatizo na kumnywesha mtu mwenye shida maji ili afunguliwe, au mafunuo ya kutumia chumvi. Tatizo ni pale watumishi kuanza biashara kanisani. Mtumishi ananunua chumvi tsh 500 anakuja kuuza tsh 5000 vivyo na maji pia na mafuta. Huo ni UTAPELI makanisani.
na kama alikuwa hafanyi?Kama alikuwa anayafanya hayo niliyoyasema, basi alitumiwa na adui kuharibu injili ya Kristo.
Hakumuuzia mtu udongo au kitu chochote kileKumbuka hata Yesu mwenyewe Kuna siku alitumia udongo kumpaka Kipofu machoni na kumwambia nenda kaoshe katika Kisima cha Ibrahimu kilichoitwa Salom.
Ishu ni kuwa na uwezo wa kumtambua Kiroho.
Utamjuaje Mtumishi wa ukweli kama sio Mtu wa Mungu?
Hapo ndipo penye shida.
Hapo ndipo panapo kuja na Matusi na Kejeri.
Hicho unacho sema sivyo kilivyo ...tena umeongea ujinga uliotukuka madhehebu ni kitofauti na hicho ulicho sema ndiyo maana hata eneo moja yanaweza kuwa madhehebu 6 na kila dhehebu lina sera zake na itikadi zake na viongozi wanapokea amri kutoka mkondo wa dhehebu lao tu ...mfano papa majuzi kasema mashoga wabarikiwe kwenye dhehebu katoriki huo mwongozo siyo kwa wasabato wala walokole wala TAG wacha kupayuka usiyo yajuaDhahebu ni kama unavyosikia Wakristo wa Mbagala.
Wakristo wa Kolosai, Tetholanike, Garatia, Roma, Uphilipino, (wafilipi)
Kanisa la Efeso nk.
Hiyo ni majina ya miji au mitaa au kabila flani.
Hilo ni jambo la kutambuana tu.
Ila ni lazima wawe na imani ya Kristo.
Imani ya Kristo ni kusikia Neno la Kristo tu.
Kila jambo la Kikristo ni lazima tusikilize Kristo alivyosema juu ya hilo jambo, zaidi ya hapo ni imani ya Kipagani.
Warumi (Rom) 10:17
Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
Papa sio Mkristo.
Ni Mromani Cathoric.
Katika mji wa Roma Kuna Wakristo wanao lisikia na kulifuata Neno la Kristo, ila sio Papa.
Mathayo (Mat) 7:24
Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;
Mathayo (Mat) 7:26
Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;
Mathayo (Mat) 24:35
Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Sawa basi tunakutegemea wewe uongee vizuri.Hicho unacho sema sivyo kilivyo ...tena umeongea ujinga uliotukuka madhehebu ni kitofauti na hicho ulicho sema ndiyo maana hata eneo moja yanaweza kuwa madhehebu 6 na kila dhehebu lina sera zake na itikadi zake na viongozi wanapokea amri kutoka mkondo wa dhehebu lao tu ...mpano papa majuzi kasema mashoga wabarikiwe kwenye dhehebu katoriki huo mwongozo siyo kwa wasapato wala walokole wala TAG wacha kupayuka usiyo yajua
Bwana Yesu akubariki sana.Hao wa kununua malighafi ndio tatizo.
Mathayo (Mat) 10:8
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Kwanza Wakristo tumepewa uwezo wa kufanya kazi za Kimungu Bure kabisa.
Tusimame katika Neno la Kristo.
Kuuza maji au mafuta au udongo ni utapeli.
Neno la Kristo halisemi hivyo.
Anayeuza hizo gadgets ni Tapeli kutokana na Neno la Kristo.
Fullstop.
Nakumbuka maajenti wa kuuza maji ya upako ya TBJ walikuwepo hadi hapa DAR.na kama alikuwa hafanyi?
Hao maajenti walikuwa Matapeli.Nakumbuka maajenti wa kuuza maji ya upako ya TBJ walikuwepo hadi hapa DAR.