Sina nia mbaya, naomba kujua Elimu ya Babu Tale

Sina nia mbaya, naomba kujua Elimu ya Babu Tale

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Shukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bungeni kweli?

Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.

Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia.
1622543557836.png

 
Wananchi wanaochagua ndio waamuzi kwenye Elimu yake, Maana hapo katika lake walikuwemo wagombea wenye Elimu yaJuu na Sifa nyingine nyingi, Mwisho w siku raia wakaona Babu tale ndio mwenye dira ya hilo jimbo.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Shukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bingeni kweli?

Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.

Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia
Kasoma shule ya msingi Karume Mwembechai, kuhusu kuendelea na elimu sijui
 
Hyo elimu unayoitaka haisaidii watu kibao wanaangaika kitaa.
Na elimu yako bila kujiongeza utabaki kuwa zero
 
Ingawa Babu Tale kaongea ujinga wakati wa Nyerere ..Rais alikuwa Nyerere peke yake...
 
"naomba vyeo vya Rais viondolewe mfano sijui rais wa tff itolewe Rais abaki samia tu, mfano unakuta mtu kiatu chake kina vumbi, ni kulidhalilisha neno Rais, ndio maana mimi nilijiita babu"

Na huyu ndio anategemewa kutunga sheria😀😀😀

Mpuuzi sana hajui hata definition ya president ni nini? Yeye anajua Rais lazima awe kiongozi mkuu wa nchi.

Inabidi apitie maana ya ayatollah ,sultan etc
 
Shukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bingeni kweli?

Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.

Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia
STD.7 iliyo poa
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Back
Top Bottom