Kasoma shule ya msingi Karume Mwembechai, kuhusu kuendelea na elimu sijuiShukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bingeni kweli?
Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.
Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia
Vipi kuhusu diwani?Kigezo Cha kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu
Madrasa All~Kalyatu!! Ujanjaujanja Umerudi TenaBabu Tale kama kasoma sana basi STD 7 ,Jamaa ni mweupe sana!!
Ndiyo Mtaji Wa CcmBabu tale alipaswa kuwa babu jinga!
"naomba vyeo vya Rais viondolewe mfano sijui rais wa tff itolewe Rais abaki samia tu, mfano unakuta mtu kiatu chake kina vumbi, ni kulidhalilisha neno Rais, ndio maana mimi nilijiita babu"Babu Tale kama kasoma sana basi STD 7 ,Jamaa ni mweupe sana!!
"naomba vyeo vya Rais viondolewe mfano sijui rais wa tff itolewe Rais abaki samia tu, mfano unakuta mtu kiatu chake kina vumbi, ni kulidhalilisha neno Rais, ndio maana mimi nilijiita babu"
Na huyu ndio anategemewa kutunga sheriaπππ
STD.7 iliyo poaShukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bingeni kweli?
Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.
Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia