Kuna pesa ya bure.. Ila Bongo hamna tofauti ya ngumbaru na phdShukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bingeni kweli?
Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.
Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia
Kigezo Cha kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu
Msukuma anamda gani ndani ya bunge....?Yeye na Joseph msukuma nani yuko vizuri kimijadala?
Wananchi wanaochagua ndio waamuzi kwenye Elimu yake, Maana hapo katika lake walikuwemo wagombea wenye Elimu yaJuu na Sifa nyingine nyingi, Mwisho w siku raia wakaona Babu tale ndio mwenye dira ya hilo jimbo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ameishia Darasa la 6 (A)Shukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bungeni kweli?
Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.
Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia
"naomba vyeo vya Rais viondolewe mfano sijui rais wa tff itolewe Rais abaki samia tu, mfano unakuta mtu kiatu chake kina vumbi, ni kulidhalilisha neno Rais, ndio maana mimi nilijiita babu"
Na huyu ndio anategemewa kutunga sheria[emoji3][emoji3][emoji3]
Kachagulia na bahasha wakoKachaguliwa na wananchi au magufuli?
Kachagulia na bahasha wako
Mimi na wewe nani aliye endelea kubishana na Mimi kama sijaanika picha yako humuAcha shobo utaliwa tako mbwa wewe