Weweeee huko kujiongeza kwa wasio elimu ni sawa na ni jambo la maana ila usisahau kuwa kujiongeza kwa wasio elimu kumo ndani ya mifumo eliyoandaliwa na wenye elimu.Hyo elimu unayoitaka haisaidii watu kibao wanaangaika kitaa.
Na elimu yako bila kujiongeza utabaki kuwa zero
Elimu yake ni Form Four tu ila tayari Maisha kashayakatia Denge! Elimu kubwa bila kuwa na pesa ni Upumbavu tuuShukrani kwa wote. Hivi kwanini hii nchi mtu akiwa na influence kidogo tu anakimbilia siasa? Wasanii, Comedian waigizaji wote wanataka Ubunge, hivi wana uelewa wa kutosha kuwapa dhamana ya kutuwakilisha bungeni kweli?
Unaweza kuwa mzuri kwenye muziki lakini haimaanishi hata kwenye ubunge unatosha hapana. Tupambane sana tupate tu katiba mpya maana,tunajidhalilisha sana.
Mbona Musukuma ni STD7 lakini ana point za kuwakilisha jamii? Nikipata CV yake na quote zake mbalimbali labda kwenye mitandao ni sawa pia.
Mqendazake ndo aliwaweka hawa wehu!!Wananchi wanaochagua ndio waamuzi kwenye Elimu yake, Maana hapo katika lake walikuwemo wagombea wenye Elimu yaJuu na Sifa nyingine nyingi, Mwisho w siku raia wakaona Babu tale ndio mwenye dira ya hilo jimbo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Niliposikia ile speech kilichonijia cha kwanza ni huyu elimu yake ni nini ?"naomba vyeo vya Rais viondolewe mfano sijui rais wa tff itolewe Rais abaki samia tu, mfano unakuta mtu kiatu chake kina vumbi, ni kulidhalilisha neno Rais, ndio maana mimi nilijiita babu"
Na huyu ndio anategemewa kutunga sheriaπππ
πWananchi wanaochagua ndio waamuzi kwenye Elimu yake, Maana hapo katika lake walikuwemo wagombea wenye Elimu yaJuu na Sifa nyingine nyingi, Mwisho w siku raia wakaona Babu tale ndio mwenye dira ya hilo jimbo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
ππKigezo Cha kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu
Hapa ndipo CCM inapotukosea na kutoitendea haki Nchi hivi ni kwanini kigezo cha chini cha kuomb/ kugombea ubunge isiwe angalau Kidato cha sita (form six)?Kigezo Cha kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu
Enzi wewe na yeye mnasoma chekechea zilikuwepo?Huyu mwamba nakumbuka last time tulifukuzwa kwa kosa la kuiba maandazi ya shule nzima chekechea
Sijui Kama alirudi maana Mimi nlihamishwa mkoa
Kolabo yetu ilitikisa wilaya
Sasa nani anamsomea makabrasha!!?Vipi kuhusu diwani?
Kuna mmoja namfahamu hajawahi kuingia darasani na hajui kuandika.
Ushauri mzuriAmlipe mtu wa kumwandikia hoja na akisha zipata akae kwanza chumbani kwake azisome mbele ya kioo kujenga kujiamini kabla hajaingia mjengoni.
Ana Masters ya Bongo Fleva.