Sina nia mbaya, naomba kujua Elimu ya Babu Tale

Hata alieenda chuo ana nafuu. Au alipitiaga MEMKWA akatoroka!!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka kwa nguvu looh
 
T
Viongozi wetu wanaakisi jamii iliyobaki...
Yaani watu wazima kabisa na akili zao walipanga foleni na kumpitisha huyo jamaa!!
 
Aliemuona bora ni magu sio wNanchi
 
Std 7. But ana akili sana, sometimes watu hukosa elimu kubwa kwa sababu mbalimbali Ila deepdown wana akili sana kwenye angle zingine
 
Hapo bungeni ilibidi MTU aende akiwa Ana angalau cheti cha form four na sio kama ilivyo hivi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…