Sina raha kinyesi changu kinatoa harufu mbaya sana

Ah ah mkuu huwa unakata baada ya siku tatu nn??

Acha kula.viporo visivyo pashwaaa
 


Mhhh, funguka Zaidi mkuu ili usaidiwe. Je, unashikishwa ukuta ukiwa nje ya nyumba yako?
 

Ndugu yangu hivi hapa kweli ni right forum ya kuuliza swali kama hilo? are you not a great thinker?, ndiyo maana umepata majibu ya kejeri. Be serious bwana!!!!!!
 
Chumba cha kupanga ninacho lakini choo cha ndani cha ku share....njoo nadhani kwa utozi wako ukikuta wanawake coridon harufu itakata automatically.
 
Zinangatia ushauri wa kula matunda mara kwa mara na pia kunywa maji.

Zingatia pia kwenda haja kwa wakati, na sio kubana na kusubiri.

Lakini pia kitu kimoja rahisi sana cha kupima harufu ya choo chako, ni harufu ya fart yako. The more smelly the fart, the more smelly the stool.

Kufart mara kwa mara, kunasaidia build up ya gas ndani ya tumbo lako, na ultimately ukienda chooni, harufu itakuwa very minimal. Jaribu hii utaona matokeo yake.
 
Kutotumia majina yetu kunatufanya tuweke mada za kijinga sana..
Pata picha hii mada imeandikwa na Sizonje..
 
Reactions: BAK
 

Aah tuna vtu vng vya kudili navyo...to a usenge wko hapa
 
Jibu zuri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…