Kiukweli haiwezekani, zaidi ya kuhisi tu! Ila usijaribu kabisa kumfanyia mr. Wako hivi, ni tusi kubwa sama na Mungu atakuadhibu!
Scientifically, this is may or may NOT be true. reasons: The first man might have oligospermia or azoospermia (Low or no sperm count in semen), Or the egg might not have reached the time for fertilization; hence the first encounter does not lead to fertilization. On the other hand, if the egg was fertilized by the first man, then it will be his baby. A woman can also ovulate 2 eggs which can be fertilized by 2 different men, when this happens it is possible to have twins, each belonging to a different father.
Mom hata wangekua wanajua huyu mumewe Ana stimulate baada ya siku nne au tano sasa atajuaje mkewe ametumika me hata nimeshindwa la kumshauri avune alichopanda tu
Huna hata aibu malaya ww. Kama ulimpenda huyo rafk yako si angekuoa? Alikughalamia lakn baadae akaona huna sifa ya kuwa mke ndio maana hakukuoa.
Nawewe bila ajizi umemthibitishia kuwa ww ni malaya zaidi ya mbwa. Umeamua kumletea mmeo najisi ndani.
Huna utetezi wowote, wew n malaya
umepiga game mbili one day
mimi nimepata kinyaa nisamehe ...... umekonyolewa na wanaume wawili kwa siku moja possibility kubwa ni ya rafiki yako na si ya mr
umenena vyema.
umepiga game mbili one day
Mimba ni ya RAFIKI yako. Sasa kwanini uliingia kwenye ndoa ukijua kuna tatizo? Ni vizuri kuepusha mambo mapema.
huko kwingine uwe unatumia condom
mimba inawezachomoka ukimwi je?
Pole kama huna uhakika kaitoe tu yasije kuwa makubwa sorry kwa huu ushauri
Tena unaweza ukawa unamla, kumbe ule utelezi sio wake, kuna njemba imeuacha!
Mpendwa "some shoes are too big to fill". Naomba tu nisiimagine khaaassume you were in her shoes!! utafanyaje mpendwa