Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

nimetafakari sana Mgirik imagine mume wake alienda chuvini jamani kala manii ya mwanaume mwenzie uwiii

kiukweli wanawake nyinyi mnatufanya tuwe playboy kwa jinsi huyu mama alivyoelezea hapa nakosa iman hata kwa mke wangu kiukweli aakili yangu mpaka sasa inanitaka niishi kisanii zaidi kwa wanawake.

Ni bora kutooa maana unaweza ukawa unamheshimu mkeo lakn anakuja kukufanyia haya. Ama kweli bora tuishie kugegeda tu lakn mambo ya ndoa hakunaa
 
Last edited by a moderator:
kiukweli wanawake nyinyi mnatufanya tuwe playboy kwa jinsi huyu mama alivyoelezea hapa nakosa iman hata kwa mke wangu kiukweli aakili yangu mpaka sasa inanitaka niishi kisanii zaidi kwa wanawake.

Ni bora kutooa maana unaweza ukawa unamheshimu mkeo lakn anakuja kukufanyia haya. Ama kweli bora tuishie kugegeda tu lakn mambo ya ndoa hakunaa
ila wapo wake waaminifu kama wako
 
wewe unavyokumbuka, nani kati yao ulisikia msisimko wa hali ya juu regardless ya time mliyochukua kupeana vyenu?
 
Ndugu yetu, tazama majibu na matusi uliyopewa. Ninaamini kuwa hakuna kosa lisilosameheka, lakini kweli waweza fanya kosa la namna hii na ukaja ukalianika kwenye mtandao? Uaminifu ni hazina, lakini ukishindwa kuwa mwaminifu angalau tumia busara. Yaani hata kumlinda kidogo huyo mr. wako haujaona umuhimu? Katika karne hii mbona hakuna haja ya kwenda nje, tena peku, na kusema ati "tumetoka naye mbali".

Usikubali kuonekana mwanamume anakudai bwana, kwani thamani yako ni kubwa kuliko huto tuvitu alivyokudanganyia navyo. Ulikuwa peke yako, sasa wewe umekua, tena hata una mme, basi uwe na swaga la mtu mwenye mume bwana. Utamlipa hadi lini? mara ngapi?

Pili, ukikosea, pata ushauri kwa faragha, namna hii umedhalilisha wanawake wote. (Hata mimi nimejisikia kuchefukwa na kudhalilika). Tatu, pole sana, utapata mtoto ambaye daima atakukumbusha matendo yako, na hata siku akiumwa ikatakiwa damu, baba akipimwa ili amtolee mtoto, au mambo mengine ya kiafya, sijui utafanyaje. Akiambiwa kwa majibu haya ya damu haiwezekani wewe uwe baba yake, je ndio utakwenda kwa huyo mwizi wako? Utamwambiaje mtoto? kweli ya ngoswe mwachieni ngoswe!

Jibu langu kama daktari: kwa hayo uliyoandika huwezi kuwa na uhakika mtoto ni wa nani. Unaweza kufanya paternity test mtoto akizaliwa. Au, iwapo daktari akijua blood group yako, ya mtoto, ya Mr, na ya yule ndugu, kuna uwezekano wa kutambua kuwa mtoto ni wa nani, iwapo group zao zitakuwa hazifanani.

Mungu humuumba kila mtu na group yake, kamwe haifuati kwa baba wala kwa mama.
 
Sijasoma post zingine, naomba kuuliza mzunguko wako ni regular au irregular. Je, kwa kawaida unatumia siku ngapi kwenye mzunguko wako. Kama ni regular unatumia siku ngapi kwa circle. Na kama ni irregular, mzunguko mrefu unachukua siku ngapi na mfupi unachukua siku ngapi?

Nauliza hayo maana watu wengi wanafikiri kila mwanamke ovulation yake ni siku ya 14.

Uko sahihi wanawake tunajimix kwenye mzunguko
 
Ushauri wangu kama hujamwambia mmeo it's better ufanye abortion naona madhara makubwa mbeleni kama itakuja kugundulika ndivyo sivyo
 
mimba ya mtoto wa kiume hiyo.mumeo mbovu hajakupa mimba
 
ma.l.aya sana haujitambui wewe.
utakufa kabla ya umri wako....maaaaaa...maaaeeeeee
 
Kitanda hakizai haramu bora miguu afanane na huyo mchepuko wako sura afanane na hyo hubby wako huyo ni mungu tu kutengeza hivyo tubu utatengenezewa hivyo
 
Bila kusahau kuwa mpaka bidada anavua nguo,..kwa cku wanaume wawili n kutokana na ushawishi wa haohao wanaume.!
 
Back
Top Bottom