Since 2005, Kenya has spent a cumulative $8.8 billion (Sh884billion) on military hardware

Since 2005, Kenya has spent a cumulative $8.8 billion (Sh884billion) on military hardware

Tanzania Bids for Russian Military Supplies 2016


Tanzania has approached Russia to supply the country's new weapons and military equipment, state-owned news agency RIA Novosti reported Wednesday.

The director of the Russian Military – Technical Cooperation Service (FSVTS) announced that the east African country was interested in purchasing the entire Mi-17 series of helicopters. They also expressed interest in Russian fighter jets, small arms and armored vehicles.“They [Tanzania] have looked into every supplier and chose Russia,” a FSVTS spokesperson said.

Russia said they were prepared to make a counteroffer to Tanzania's bid, which would include increased goods exports as well as provision of both commercial and state loans, RIA Novosti reported.

Russian delegates in Tanzania have scheduled a meeting to discuss the proposal with the head of the Tanzanian Arms Ministry.

A Tanzanian spokesperson said that the country had carried out a large amount of research into suppliers on the global weapons market. They confirmed that Tanzania sent Russia a bid to procure a wide range of military equipment including planes, tanks, small arms, and anti aircraft defense systems, RIA Novosti reported.

Tanzania Bids for Russian Military Supplies
Lazima wakae...Ngoja tununue Su-30...na T-72 tanks na s-300 ndo watatuelewa...
 
Lazima wakae...Ngoja tununue Su-30...na T-72 tanks na s-300 ndo watatuelewa...
Su-30 hii hapa
Nauhakika majirani sasa hivi wanatetemeka ile mbaya.
su-30.jpg


T-72 Tank
T-72.jpg
 
Lazima wakae...Ngoja tununue Su-30...na T-72 tanks na s-300 ndo watatuelewa...
Halafu hii hapa helicopter M-7. Unajua sisi tunachukua series yote. Kwahiyo TZ itakuwa noma zaidi. Mziki wetu utaanza kuwa nje ya Africa kama Diamond Platnumz.
M-73.jpg
M-72.jpg
M-71.jpg
 
Kwa hela za MADAFU???
Miaka hii Kenya lazima mtajiharishia sana. Ghalama yenu kuuubwa. Sisi ni nchi za kijamaa tunauziana siraha kirafiki.
Nyie endeleeni kununua huko Marekani kwa gharama za juu sana. Sisi tunatumia za China na Russia
Umeeona lakini Series za M-7 helicopters.
Nyie tulieni tu, Hii ndio TZ bana
 
Su-35 Hahaha juzi tu waziri wetu kaenda kuongea na Russia na kwamba tunanunua Fight Jets
Icheki hapa.
su-35-cutout.jpg
 
Su-35 Hahaha juzi tu waziri wetu kaenda kuongea na Russia na kwamba tunanunua Fight Jets
Icheki hapa.
View attachment 418938
I hope you understand English, cause this post is specifically about you.

Ive read some outright silly and dumb stuff around here, posted by both sides, but I'm yet to find someone who has zero basis or facts backing his argument.

Man, its painful to read your posts. They are so baseless and fictional. Try upping your game...and Don't bring a knife to a gun fight.


Oh once again, i really hope you understand English.
 
Angalia vile unazidi kujionyesha vile unauelewo mdogo sana kwa mambo ya militaries.... You are not my size my friend..... Alafu hayo ya internet na website... unasema nini sasa...... how much do you know about SIPRI, do you know how much respect SIPRI commands in the global defense circles??? hehe ungetamka hayo maneno mbele wa mkusanyiko wa wanajeshi kwa arms trade fulani ungenyongwa hapohapo... Sipri is not just anyone on the internets, SIPRI is the 5th most influential think-tank in the world! Magenerali wa nchi kubwa kubwa hata hao mara kwa mara wanajulikana kuulizia mawaidha , trends, predictions kutoka kwa hio organisation. The fact that you don't know sipri na una claim unajua mambo ya defence.. nkt ata wacha niache hapo tu.


Anyway, afadhali hao waizi wetu.. Si tuliwafuta kazi mara moja ..... Lile Jeshi La Wabakaji Watotoz linaendeleaje?? mnabaka watoto chini ya miaka kumi na tatu ata hamna aibu mpaka inabidi mfungiwe kambini...hahahaha ai...hilo jeshi lenyu bado primitive..linahitaji kufundishwa basic human behavior mwanzo

Propaganda hizo, lete ushahidi hapa wa askari kutoka Tz aliyeshitakiwa kwa kubaka watoto. Hizo habari za kidaku wala huwa hatushughuliki nazo.
 
Mimi nafikiri kenya muanze ku recruit wanawake ili washike jeshi na nyinyi wanaume mrudi kulea watoto majumbani maana wanaume wa kenya mmelegea mno kama mlenda na ndiomana hamuishi kuchapwa daily na wake zenu bana.
 
56 KDF soldiers killed in Somalia honoured at fete


Tanzania iko za zero experience kwa vita vya ugaidi. hadi ile siku mtaenda kupigana 'Holy war' mfunge midomo yenu tafadhali... Eti unajicompare na wale washamba wa M23, hivyo ni vita aina tofauti bana...
vita vya M23 ambao walikua wanataka uongozi tu... vilichukua mwaka mmoja miezi saba...wanajeshi waliongoza kutoka nje ni wa south africa (1,400), wakafwatwa na tz1(1,200) na wa DRC wenyewe aambao ndo walikua wako kwa frontline..... M23 ilikua inatoshana mtu 6,000.... baada ya mwaka mmoja miezi saba, m23 takriban mia nane walikua wamekufa....hao wengine waka surrender na kutupa silaha..


KDF inapigana vita vya kigaidi...hapa hakuna cha ku surrender, wanaeka mitego ya IED barabarani, wengine wanajifunga mabomu na kukufwata mbio wakati mnashika doria mitaani somalia, mtu ako radhi ajitoe mhanga.....

Kenya iliingia somalia October 2011, baada ya mwaka moja october 2012, kenya peke yake (Bila kuchanganya Uganda, burundi,Ethiopia ) ilikua imemaliza alshabaab 3,000 Kenyan Forces Outperforming US Forces in War Against Islamists
Lakini alshabaab hawakuangusha silaha, infact, kadri unavyo waua ndo wengine wanazidi kuongezeka, wanazidi kujitoa mhanga kulipiza kisasi....


I recommed, tafuta series flani mpya inaitwa 'Taking Fire', wanajeshi wa marekani kutimia kamera ambazo walikua wanazifunga kichwani walikua wanapiga vedio wakipigana na magaidi afhganistan, karibu kila time walikua wakipiganan nao, mmarekani alikua anapoteza mmoja au wawili, kuna wakati walitegeshewa bomu moja kubwa hata hutaamini, wamarekani na nguvu zao zote walichukua miaka zaidi ya kumi kupambana na magaidi, sahii inasemekana kuna magaidi wengi zaidi kuliko wakati wowote mwengine wa ki historia..... Alafu wewe unakuja turingia na wale washamba wa M23 ambao hata hawakuenda shule... Alshabaab uwauwe hadi ubakishe wawili, hao wawili bado watakufwata ukizubaa na wakumalize

Wewe acha maneno mengi, nyinyi hampo vitani na wala hamjawahi kupigana vita ndiomana waoga kama kunguru. Ulishaona isis wanapokuwa kwenye mapambano? Alshabab wakiamua kuwaingilia kwa mtindo huo, wote mtahama😀
 
USA Germany na South Africa

Kenya has 306 tanks Tanzania has 75

Wacha Annael ajibambe tu!!

Nimechoka ku argue na fala

Kenyas annual military budget ni 2.21bn$.
Tanzania ni 347mn$

Kenya tuna american fighter jets hapa naona fala anaringa na za china sijui nianzie wapi ....wacha ajibambe

Hebu msikilize vizuri huyo mwanaume kwenye hii clip pengine unaweza kujifunza kitu, japo sindano inauma lkn ndio tiba, kama unafikiri vita ni kuwa na madege mengi pamoja na budget kuubwa basi mtasubili sana aisee.
 

Attachments

We have russia building attack Helicopters to specifically sell them to kenya

Kenyas military budget is equal to Ukraines military budget
Kama mnafikiria vita ya somalia ni same na Country vs Country just declare war in kenya muone tutavyo wamaliza na masiku!!

Hatutajali itakuwa kuwanyeshea kutoka angani na baharini somalia tunaomba ruhusa kufanya airstrikes but hyo hatutakuwa tunaomba ruhusa itakuwa airstrikes upon airstrikes
Ndio mtatambua vyema mko mbali sana tanzania
View attachment 418619View attachment 418620

View attachment 418622View attachment 418623View attachment 418624View attachment 418625View attachment 418626View attachment 418627
Hamuwezi, nyie vita ya mdomoni na kwenye keyboard mnaweza sana lkn sio kunako field.
 
I quit a guy comparing f-5e fighter jets that fought gulf wars and the sux day war israeli invasion against all arabian peninsula tu Cheng'du what war has chengdu fought???

Smh

Up close with Kenya's first female warship engineer

View attachment 418707View attachment 418708View attachment 418709View attachment 418710

This is a war we will never win i cant keep in my righy mind comparing KDF with a 2.21bn$ budget to TPDF with a 347mn$ budget mpaka muingie somalia ama si tafadhali mchokoze kenya tuone nani atashinda friendly???

We will put you people kwa manyattas and rule Danganyika for years kweli CCM inawapa porojo mingi hamna any lakini hapa JF utadhani mnayo Hebu tembeeni ndio mjue mlivyo chini

Hivi wewe, ujasili wa kupigana unafikili ni kama mnye. o kila mtu anao? Yani mmeshindwa kuwakimbiza hao wahuni ndio mnafikilia kuja kupambana na Tz?
 
Back
Top Bottom