Sincerely kwanini nataka Yanga SC ifike Fainali ya CAFCC na Ibebe kabisa na Ubingwa?

Sincerely kwanini nataka Yanga SC ifike Fainali ya CAFCC na Ibebe kabisa na Ubingwa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Ili wana Simba SC tunaodanganywa kila mara mpaka kutuletea Mchezaji Mhamasishaji, Majeruhiwa, Mwanasiasa ( hasa za Michezo ), Mpiga Kura, Msanii na kufanywa Wapumbavu tuumbuke.

2. Ili Uongozi mbovu na wa Upigaji mwingi ubadilike au uachie ngazi.

3. Itufanye Mashabiki wa Simba SC kuachana na Ushamba wa Kutambia kila mara kufika Robo Fainali ya CAFCL.

4. Imfanye Mwekezaji Mo Dewji ajawe na Hasira na Msimu ujao atusajiie Majembe.

5. Iwafanye Wachezaji wa Simba SC nao waige Fighting Spirit ya Wachezaji wa Yanga ili nao Msimu ujao wafanye vyema zaidi yao.

6. Itasaidia kuinua Soka la Tanzania kwa Vilabu vingi Kusajili vyema, kuongeza Ushindani na Kukaribisha Wafadhili wengine hivyo Kuinogesha Ligi Kuu.

7. Kutazidi kuitangaza zaidi Tanzania hasa Kimataifa, Kuitangaza Ligi Kuu yetu na kuipa Mailage Kubwa Benki ya NBC hivyo Kuwashawishi kwa Msimu ujao Waongeze Dau la Udhamini na Ligi Kuu yetu Inoge na iendelee Kuibua Vipaji vingi ndani na nje ya Tanzania.

GENTAMYCINE nikiwa kama Mwanamichezo na Mdau mkubwa wa Michezo na Mshindi wa Shindano la Kwanza la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums kwa mwaka Jana ( 2022 ) kwa Moyo Mkunjufu kabisa na hata bila ya chembe ya Unafiki naitakia Kila la Kheri Yanga SC katika Mechi yao ya marudiano na Marumo Gallants FC Keshokutwa ( Jumatano ) tarehe 17 Mei, 2023 ili Watinge Fainali ya CAFCC na Wabebe kabisa na Kombe lenyewe katika Mechi ya Fainali na Inshaallah Mwenyezi Mungu atalifanikisha hili.

Kwa kuonyesha kuwa hili nimelidhamiria na namaanisha nahitaji mwana Yanga SC yoyote mwenye Jezi ya Kijani ya Yanga SC ainunue kisha akampe Mtani wangu na Kaka JamiiForums Founder Maxence Melo na Yeye atajua kwa kunipata na Kunikabidhi hiyo Jezi ya Mabingwa wapya wa CAFCC ili niivae / niitinge hiyo Keshokutwa Jumatano.

Mwisho nitaomba kwa wale JamiiForums Members wana Yanga SC jikusanyeni nyote kisha niambieni hii Mechi mtaiangalizia wapi ili nijumuike nanyi kwani sasa ni rasmi hata kama wana Simba SC tutaumia na Kununa ( kuwa na Usununu ) kwamba hili Jambo la Yanga SC ni la Kitaifa na Kinchi kabisa.

Kila la Kheri Yanga SC na mkashinde.
 
Ingekuwa fighting spirit ya wachezaji wa Yanga ni bora sana wasingetolewa na Al Hilal iliyokuwa ya kuungaunga, wachezaji wapya na benchi la ufundi jipya.

Kujitutumua baada ya kufeli huwa ni sehemu ya maisha, ndiyo maana waliofeli darasani huenda kupambana wafaulu nje ya darasa na wanaweza kuwa juu zaidi huko kuliko huku walikofeli mwanzo. Na mwaka ujao wafike nusu fainali kama wana fighting spirit unayoipigia chapuo.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ingekuwa fighting spirit ya wachezaji wa Yanga ni bora sana wasingetolewa na Al Hilal iliyokuwa ya kuungaunga ,wachezaji wapya na benchi la ufundi jipya....
Msimu uliopita, Simba ilitolewa kwa "aibu" kabisa pale uwanja wa Taifa na timu dhaifu ya Janweng Galaxy. Kumbuka, katika mechi ya awali, Simba ilishinda goli mbili bila kule kwa makirikhiri, lakini wakaja kupasuka tatu moja nyumbani.

Hata hivyo, Simba aliangukia kwenye Kombe la Shirikisho na mambo yakawa magumu sana. Kuna wakati ambapo inabidi kukubali kwamba tulizidiwa mbinu na Al Hilal. Kumbuka, tangu Kombe limeanzishwa mwaka 2004, Yanga haijawahi kuvuka hatua ya makundi ya Shirikisho, mara zote imekuwa ikimaliza mwisho. Je, ni uongo kusema kwamba Yanga haina "fighting spirit" msimu huu?

Tafadhali kumbuka kwamba katika Ngao ya Jamii, Simba ndiyo ilianza kufunga, lakini Yanga ilisawazisha na kushinda. Hiyo ndiyo "fighting spirit" sasa.
 
Natamani sana kuishabikia uto fc ila Kila wakicheza na timu yeyote najikuta nipo hiyo timu pinzani

Nadhani hii ni natural love kwa timu mpinzani WA yanga

Ila wakipambana vizuri plus vibuyu vyao vile basi ndoo wanabeba.
 
Pumbavu kuna GENTAMYCINE wa aina mbili....

1. Mpenda Utani wa Simba na Yanga

2. Mwanamichezo na Mchambuzi wa Soka.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Ni kwasababu ni daima mbele nyuma mwiko 📌
 
1. Ili wana Simba SC tunaodanganywa kila mara mpaka kutuletea Mchezaji Mhamasishaji, Majeruhiwa, Mwanasiasa ( hasa za Michezo ), Mpiga Kura, Msanii na kufanywa Wapumbavu tuumbuke.

2. Ili Uongozi mbovu na wa Upigaji mwingi ubadilike au uachie ngazi...
Karibu hapa Tanganyika pembeni ya Ziwa Tanganyika tule Bata wakati tukiisubiria gemu ya Yanga
 
1. Ili wana Simba SC tunaodanganywa kila mara mpaka kutuletea Mchezaji Mhamasishaji, Majeruhiwa, Mwanasiasa ( hasa za Michezo ), Mpiga Kura, Msanii na kufanywa Wapumbavu tuumbuke.

2. Ili Uongozi mbovu na wa Upigaji mwingi ubadilike au uachie ngazi.

3. Itufanye Mashabiki wa Simba SC kuachana na Ushamba wa Kutambia kila mara kufika Robo Fainali ya CAFCL.

4. Imfanye Mwekezaji Mo Dewji ajawe na Hasira na Msimu ujao atusajiie Majembe.

5. Iwafanye Wachezaji wa Simba SC nao waige Fighting Spirit ya Wachezaji wa Yanga ili nao Msimu ujao wafanye vyema zaidi yao.

6. Itasaidia kuinua Soka la Tanzania kwa Vilabu vingi Kusajili vyema, kuongeza Ushindani na Kukaribisha Wafadhili wengine hivyo Kuinogesha Ligi Kuu.

7. Kutazidi kuitangaza zaidi Tanzania hasa Kimataifa, Kuitangaza Ligi Kuu yetu na kuipa Mailage Kubwa Benki ya NBC hivyo Kuwashawishi kwa Msimu ujao Waongeze Dau la Udhamini na Ligi Kuu yetu Inoge na iendelee Kuibua Vipaji vingi ndani na nje ya Tanzania.

GENTAMYCINE nikiwa kama Mwanamichezo na Mdau mkubwa wa Michezo na Mshindi wa Shindano la Kwanza la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums kwa mwaka Jana ( 2022 ) kwa Moyo Mkunjufu kabisa na hata bila ya chembe ya Unafiki naitakia Kila la Kheri Yanga SC katika Mechi yao ya marudiano na Marumo Gallants FC Keshokutwa ( Jumatano ) tarehe 17 Mei, 2023 ili Watinge Fainali ya CAFCC na Wabebe kabisa na Kombe lenyewe katika Mechi ya Fainali na Inshaallah Mwenyezi Mungu atalifanikisha hili.

Kwa kuonyesha kuwa hili nimelidhamiria na namaanisha nahitaji mwana Yanga SC yoyote mwenye Jezi ya Kijani ya Yanga SC ainunue kisha akampe Mtani wangu na Kaka JamiiForums Founder Maxence Melo na Yeye atajua kwa kunipata na Kunikabidhi hiyo Jezi ya Mabingwa wapya wa CAFCC ili niivae / niitinge hiyo Keshokutwa Jumatano.

Mwisho nitaomba kwa wale JamiiForums Members wana Yanga SC jikusanyeni nyote kisha niambieni hii Mechi mtaiangalizia wapi ili nijumuike nanyi kwani sasa ni rasmi hata kama wana Simba SC tutaumia na Kununa ( kuwa na Usununu ) kwamba hili Jambo la Yanga SC ni la Kitaifa na Kinchi kabisa.

Kila la Kheri Yanga SC na mkashinde.
[emoji123][emoji123] Nguvu moja
 
1. Ili wana Simba SC tunaodanganywa kila mara mpaka kutuletea Mchezaji Mhamasishaji, Majeruhiwa, Mwanasiasa ( hasa za Michezo ), Mpiga Kura, Msanii na kufanywa Wapumbavu tuumbuke.

2. Ili Uongozi mbovu na wa Upigaji mwingi ubadilike au uachie ngazi.

3. Itufanye Mashabiki wa Simba SC kuachana na Ushamba wa Kutambia kila mara kufika Robo Fainali ya CAFCL.

4. Imfanye Mwekezaji Mo Dewji ajawe na Hasira na Msimu ujao atusajiie Majembe.

5. Iwafanye Wachezaji wa Simba SC nao waige Fighting Spirit ya Wachezaji wa Yanga ili nao Msimu ujao wafanye vyema zaidi yao.

6. Itasaidia kuinua Soka la Tanzania kwa Vilabu vingi Kusajili vyema, kuongeza Ushindani na Kukaribisha Wafadhili wengine hivyo Kuinogesha Ligi Kuu.

7. Kutazidi kuitangaza zaidi Tanzania hasa Kimataifa, Kuitangaza Ligi Kuu yetu na kuipa Mailage Kubwa Benki ya NBC hivyo Kuwashawishi kwa Msimu ujao Waongeze Dau la Udhamini na Ligi Kuu yetu Inoge na iendelee Kuibua Vipaji vingi ndani na nje ya Tanzania.

GENTAMYCINE nikiwa kama Mwanamichezo na Mdau mkubwa wa Michezo na Mshindi wa Shindano la Kwanza la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums kwa mwaka Jana ( 2022 ) kwa Moyo Mkunjufu kabisa na hata bila ya chembe ya Unafiki naitakia Kila la Kheri Yanga SC katika Mechi yao ya marudiano na Marumo Gallants FC Keshokutwa ( Jumatano ) tarehe 17 Mei, 2023 ili Watinge Fainali ya CAFCC na Wabebe kabisa na Kombe lenyewe katika Mechi ya Fainali na Inshaallah Mwenyezi Mungu atalifanikisha hili.

Kwa kuonyesha kuwa hili nimelidhamiria na namaanisha nahitaji mwana Yanga SC yoyote mwenye Jezi ya Kijani ya Yanga SC ainunue kisha akampe Mtani wangu na Kaka JamiiForums Founder Maxence Melo na Yeye atajua kwa kunipata na Kunikabidhi hiyo Jezi ya Mabingwa wapya wa CAFCC ili niivae / niitinge hiyo Keshokutwa Jumatano.

Mwisho nitaomba kwa wale JamiiForums Members wana Yanga SC jikusanyeni nyote kisha niambieni hii Mechi mtaiangalizia wapi ili nijumuike nanyi kwani sasa ni rasmi hata kama wana Simba SC tutaumia na Kununa ( kuwa na Usununu ) kwamba hili Jambo la Yanga SC ni la Kitaifa na Kinchi kabisa.

Kila la Kheri Yanga SC na mkashinde.
Naunga mkono hoja.
 
1. Ili wana Simba SC tunaodanganywa kila mara mpaka kutuletea Mchezaji Mhamasishaji, Majeruhiwa, Mwanasiasa ( hasa za Michezo ), Mpiga Kura, Msanii na kufanywa Wapumbavu tuumbuke.

2. Ili Uongozi mbovu na wa Upigaji mwingi ubadilike au uachie ngazi.

3. Itufanye Mashabiki wa Simba SC kuachana na Ushamba wa Kutambia kila mara kufika Robo Fainali ya CAFCL.

4. Imfanye Mwekezaji Mo Dewji ajawe na Hasira na Msimu ujao atusajiie Majembe.

5. Iwafanye Wachezaji wa Simba SC nao waige Fighting Spirit ya Wachezaji wa Yanga ili nao Msimu ujao wafanye vyema zaidi yao.

6. Itasaidia kuinua Soka la Tanzania kwa Vilabu vingi Kusajili vyema, kuongeza Ushindani na Kukaribisha Wafadhili wengine hivyo Kuinogesha Ligi Kuu.

7. Kutazidi kuitangaza zaidi Tanzania hasa Kimataifa, Kuitangaza Ligi Kuu yetu na kuipa Mailage Kubwa Benki ya NBC hivyo Kuwashawishi kwa Msimu ujao Waongeze Dau la Udhamini na Ligi Kuu yetu Inoge na iendelee Kuibua Vipaji vingi ndani na nje ya Tanzania.

GENTAMYCINE nikiwa kama Mwanamichezo na Mdau mkubwa wa Michezo na Mshindi wa Shindano la Kwanza la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums kwa mwaka Jana ( 2022 ) kwa Moyo Mkunjufu kabisa na hata bila ya chembe ya Unafiki naitakia Kila la Kheri Yanga SC katika Mechi yao ya marudiano na Marumo Gallants FC Keshokutwa ( Jumatano ) tarehe 17 Mei, 2023 ili Watinge Fainali ya CAFCC na Wabebe kabisa na Kombe lenyewe katika Mechi ya Fainali na Inshaallah Mwenyezi Mungu atalifanikisha hili.

Kwa kuonyesha kuwa hili nimelidhamiria na namaanisha nahitaji mwana Yanga SC yoyote mwenye Jezi ya Kijani ya Yanga SC ainunue kisha akampe Mtani wangu na Kaka JamiiForums Founder Maxence Melo na Yeye atajua kwa kunipata na Kunikabidhi hiyo Jezi ya Mabingwa wapya wa CAFCC ili niivae / niitinge hiyo Keshokutwa Jumatano.

Mwisho nitaomba kwa wale JamiiForums Members wana Yanga SC jikusanyeni nyote kisha niambieni hii Mechi mtaiangalizia wapi ili nijumuike nanyi kwani sasa ni rasmi hata kama wana Simba SC tutaumia na Kununa ( kuwa na Usununu ) kwamba hili Jambo la Yanga SC ni la Kitaifa na Kinchi kabisa.

Kila la Kheri Yanga SC na mkashinde.
Hizi timu zetu hizi, Sunche na Kapeto, zinahitaji sana mashabiki wanaoweza kuzichenjia kama hivi ili ziweze kusonga mbele, otherwise zinabweteka.

Aina ya mashabiki ambao timu inatolewa nadala ya kuangalia walipojikwaa, wao wanaenda makumbusho kufungua vitabu vya historia za eti na sisi tuliwahi kufika pale hao kamww hawatakiwi.

Simba mlishatoboa mapema tu, pia pamoja na kutolewa bado mpo pazuri, ila sielewi ni mdudu gani aliingia na kuwasimamisha.

Timu ina wachezaji wazuri, pia kuna wachezaji wa kuachwa, lakini ni kama vile benchi la ufundi halina maamuzi.

Kuna wasiwasi kuna wachezaji wanaelekea kuwa 'Mafaza' wa timu, hii ni mbaya, inabidi watafutiwe sub zilizoenda shule ili na wao waanze kupigania namba.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Ni kwasababu ni daima mbele nyuma mwiko 📌
Umefurahiiiii mwenyewee..
Kila mtu achague analoona linampendeza...
 
Back
Top Bottom