Sindano ya kutibu U.T.I yadaiwa kumletea madhara mwanamke huyu

Yaani nilitaka kusema hivihivi...hosp ni rahisi kufuatilia na mtu aka detect Nini tatizo.sasa huko wameshakataa kuwa hawajamchoma.
 
Hatari sana
 
Na ambavo wabongo hawapendi risiti wakilipia huduma ndo basi tena
 
Huu ujinga sijui utawaisha lini.
Yaani unaacha kwenda hosp au vituo vya afya unaenda duka la dawa kuchoma sindano?

Halafu maduka ya madawa yanaruhusiwa kuchoma sindano siku hizi?
 
Reactions: Mit
Ukichomwa sindano ya UTI hupaswi kungonokq na mabwana tofauti kwa siku 3-4, vinginevyo madhara kama haya hutokea. Aulizwe vizuri huyu mama.
 
Ukichomwa sindano ya UTI hupaswi kungonokq na mabwana tofauti kwa siku 3-4, vinginevyo madhara kama haya hutokea. Aulizwe vizuri huyu mama.
kwamba unamaanisha Umalaya ndo umemponza huyo dada?
 
Sijui kwa nin wengi wananganyana kwamba iv ceftriaxone ndo first Choice ya UTI....!!!?? Waphamasia wa ADDO hao dah!
Ni kwa ajili ya nini haswa hiyo sindano?
Kuna kipindi mguu uliuma pasipo sababu, sikujigonga wala kuanguka.
Few days later pale kwenye shaft pakaanza kuvimba.
Nikaenda Hosp, wakapima FBP. Dr akasema white blood cells iko high, mengine mengine ya kisayansi hapo hata na nishasahau but simply ni kama mchafuko wa damu.

Nikaandikiwa hiyo sindano kwa siku 3.
 
carbamazepine
 
Ni antibiotic yenye nguvu sana dhidi ya bacteria
 
Wengine wanadai sio sindano iliyosababisha hilo

Ili kupata jibu sahihi ni mpaka:

1: Ujue aina ya dawa

2: Je inaruhusiwa kuchomwa kwenye mishipa/ mkono?

3: Je ilichomwa kwa usahihi: njia/route, concentration vs muda/duration.

Kutokuzingatia hayo kunaweza kusababisha mkono kuvimba na kuleta compartment syndome (mkono kujaa na kuminya mishipa ya damu). Kutokana na eneo hilo kuwa nafasi iyofungwa/bana na inajitosheleza kwa vilivyomo na si kuongeza ziada kupitiza.

Matokeo yake ni damu kutokufika vyema (chakula na oksijeni) kwenye maeneo baada ya uvimbe/peripheral na kusababisha kufa kwa seli/gangrene.
 

Wenyewe wanaiita broad spectrum antibiotic(ni moja antibiotic yenye nguvu zaid)
Inatumika kutibu maambukizi ya bacteria.

Kama WBC zilikua juu inamaanisha ulikua na infection,maana WBC zikiwa juu ndo huashiria hivyo.

Wengi wanaipenda sababu ya utendaji kazi wake ni wa haraka,dose 2 wakati mwingine zinatosha kuonyesha response ya mgonjwa.
Hapa ndo panapofanya wengi wai abuse,wanaitoa tu bila kuangalia kama inahitajika kwa wakati huo
 

Pia watu waelewe kuwa si kila WBC zinapokuwa juu, jibu ni antibiotics.

Ni muhimu kujua kuwa WBC ni mjumuisho wa seli za kinga za mwili (neutrophils, lymphocytes, Eosinophils, Basophils na monocytes).

Hizi seli hupanda kulingana na chanzo cha maambukizi (bakteria, virusi, allergy/mzio, minyoo, fangus).
Hivyo, ni vyema kujua kiasi cha upandaji vs aina ya seli vs chanzo.
Pia dalili alizonazo mgonjwa.

NB: Hapa ndo wawaachie nafasi wataalamu wa afya kazi yao.
 
count ya WBC ikiwa juu above normal, most of time inakua ni ishara ya kwamba mwilini kuna shida, mf. "Infection". So alikua sahihi mkuu.
Si jibu la 2+2=4

Kuna uchambuzi zaidi unahitajika hapo. Lazima kujua aina gani ya infection?
 

Ni sahihi.
Sasa unakutana na case kama hii aliyoleta mtoa mada,huko mitaani mtu akiumwa kiuno anakwambia ni UTI akienda duka la madawa ndo yanaishia haya ya kuchomana sindano bila indications.

Siku hizi kumekua na abuse kubwa sana ya antibiotics na wanaugonjwa mpya unaitwa mchafuko wa damu,tiba yao ni antibiotics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…