Sindano ya Testosterone

Sindano ya Testosterone

1. mazoez magumu [ hii inastimulate production of the hormone]
2. zingatia chakula hasa kula vyakula vyenye mafuta, protein na wanga [ kwasabab testosterone ni steroid hormone]
3. kama uliwahi kupiga sana mastar sana kipind cha ujana bas hali unayopitia ni moja kati ya matunda ya tabia ya kujichua





1. mazoez magumu [ hii inastimulate production of the hormone]
2. zingatia chakula hasa kula vyakula vyenye mafuta, protein na wanga [ kwasabab testosterone ni steroid hormone]
3. kama uliwahi kupiga sana mastar sana kipind cha ujana bas hali unayopitia ni moja kati ya matunda ya tabia ya kujichua
Asante
Pole mkuu
Asante mkuu
 
1. mazoez magumu [ hii inastimulate production of the hormone]
2. zingatia chakula hasa kula vyakula vyenye mafuta, protein na wanga [ kwasabab testosterone ni steroid hormone]
3. kama uliwahi kupiga sana mastar sana kipind cha ujana bas hali unayopitia ni moja kati ya matunda ya tabia ya kujichua





1. mazoez magumu [ hii inastimulate production of the hormone]
2. zingatia chakula hasa kula vyakula vyenye mafuta, protein na wanga [ kwasabab testosterone ni steroid hormone]
3. kama uliwahi kupiga sana mastar sana kipind cha ujana bas hali unayopitia ni moja kati ya matunda ya tabia ya kujichua
 
Tatizo haswa sijajua, maana testosterone ina husika na vingi, ika Mzee masindano sio mazuri, piga sana tizi, kula sana mbegu za maboga, tikiti maji na mbegu zake tafuna saana, piga saana supu ya samaki, vyakula vya madini ya zinc, chuma tafuna sana, lakini pia epuka mavyakula ya hovyo, epuka soda, asali awe mshikaji wako, asubuhi ukiamka gonga ndizi walau mbili, chocolate nyeusi..
Hapo utakuwa fiti. Fanya hivyo kama miezi mi3 hivi, utaona mabadiliko makubwa tena.
 
Wanajidanganya sana ila in reality 45 bado anafurahia sana tendo na nguvu zipo nyingi tu
Hiyo miaka bado sana,binafsi napeleka sana moto,ila sijawahi kunywa bia Wala soda,nakimbia sana mazoezi,nakula natural food like fish,kuku kienyeji,matunda na mboga mboga.Kifupi sili taka taka na uzito ni sio mkubwa.
 
1. mazoez magumu [ hii inastimulate production of the hormone]
2. zingatia chakula hasa kula vyakula vyenye mafuta, protein na wanga [ kwasabab testosterone ni steroid hormone]
3. kama uliwahi kupiga sana mastar sana kipind cha ujana bas hali unayopitia ni moja kati ya matunda ya tabia ya kujichua





1. mazoez magumu [ hii inastimulate production of the hormone]
2. zingatia chakula hasa kula vyakula vyenye mafuta, protein na wanga [ kwasabab testosterone ni steroid hormone]
3. kama uliwahi kupiga sana mastar sana kipind cha ujana bas hali unayopitia ni moja kati ya matunda ya tabia ya kujichua
Mazoezi magumu?huyu ana 45 anahitaji mazoezi ya kukimbia,push ups etc au unataka atengue mgongo?
 
Hiyo miaka bado sana,binafsi napeleka sana moto,ila sijawahi kunywa bia Wala soda,nakimbia sana mazoezi,nakula natural food like fish,kuku kienyeji,matunda na mboga mboga.Kifupi sili taka taka na uzito ni sio mkubwa.
Asante mkuu
 
Tatizo haswa sijajua, maana testosterone ina husika na vingi, ika Mzee masindano sio mazuri, piga sana tizi, kula sana mbegu za maboga, tikiti maji na mbegu zake tafuna saana, piga saana supu ya samaki, vyakula vya madini ya zinc, chuma tafuna sana, lakini pia epuka mavyakula ya hovyo, epuka soda, asali awe mshikaji wako, asubuhi ukiamka gonga ndizi walau mbili, chocolate nyeusi..
Hapo utakuwa fiti. Fanya hivyo kama miezi mi3 hivi, utaona mabadiliko makubwa tena.
Asante sana bro
 
Sidhani kama kuna daktari utamuuliza maelekezo au faida ya dawa bila kujua wewe una shida gani au kitu gani kinakusibu mpaka uhitaji hizo sindano za kuongeza level za testesterone mwilini.

Japokua kwa maelezo yako mafupi naamini ina uhusiano na upungufu za nguvu za kiume au "uanamme" mfano sauti, body posture na tabia etc.

Madaktari watakuja kukupa miongozo
Ukiwa na upungufu wa uanaume, ukipewa hizo sindano ndo unakua mwanaume sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom