3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Zinashiriki mashindano gani makubwa afrika?Hajawahi kuzifunga timu za Yanga na Azam. Ila kawahi kuwafunga Simba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinashiriki mashindano gani makubwa afrika?Hajawahi kuzifunga timu za Yanga na Azam. Ila kawahi kuwafunga Simba tu
Akikujibu nitagZinashiriki mashindano gani makubwa afrika?
mkuu kwan utaratibu umebadilika? anaekufunga ndo unamsajiri, kama nyinyi mlivyomsajiri duma. Sijui mmempeleka wapi siku hizi!!!Hajawahi kuzifunga timu za Yanga na Azam. Ila kawahi kuwafunga Simba tu
Zinashiriki mashindano gani makubwa afrika?
mkuu kwan utaratibu umebadilika? anaekufunga ndo unamsajiri, kama nyinyi mlivyomsajiri duma. Sijui mmempeleka wapi siku hizi!!!
MASELE sisi wa kazi gani mkuu, jitu limecheza mechi nane goli 2 no assistNaskia mnamtaka pia Mayeleeeeee..
..baada ya kile kiboga alichowala
MASELE sisi wa kazi gani mkuu, jitu limecheza mechi nane goli 2 no assist
Nilikua nadhani ni kabwili peke yake kumbe hadi mashabiki, anyway kesho mtakuja na kisingizio gani baada ya kutobolewa na mbeya kwanza ??Penzi lake ni kwa Simba tu...si unajua uaminifu kwenye ndoa
Subiri kushambuliwa 🤣🤣Zinashiriki mashindano gani makubwa afrika?
Nilikua nadhani ni kabwili peke yake kumbe hadi mashabiki, anyway kesho mtakuja na kisingizio gani baada ya kutobolewa na mbeya kwanza ??
Huyo katoka tena mlimuiba Yanga sasa unatufundisha nini wanayanga juu ya morison?
Sasa vya kazi gani sisi tunataka ushindiiiiJibu swali; ashawahi kufunga goli dhidi ya Yanga tofauti na alivoifunga simba pindi akiwa yanga?
Ile pasi ya morisson kwa miquison ktk nusu fainali ya fa ktk mechi dhidi ya Azam kule songea ni zaidi ya goli.Uto akili zenu zipo matakoni, morrisson kashinda ligi na fa ambazo yanga na azam walikuwa washiriki
Mavi kabisa UtoUto akili zenu zipo matakoni, morrisson kashinda ligi na fa ambazo yanga na azam walikuwa washiriki