.Kilimsaidia Morson kukichafua jana ni Vile viatu maalum alivyoviagiza toka South Africa na ile mvua iliyoharibu uwanja ilisaidia yeye afanye atakavyo.
Hongera zake, kuna umuhimu wa Yanga kukata rufaa tena CAS
Eti ushindi wa mchongo. Walihaha wakapoteana zikabaki ni nguvu tuu wanatumia yaniiiRed Arrows mameahidi kulipiza kisasi kwa ushindi wa mchongo.View attachment 2026901
Umewaza kama Mpumbavu. Kwani alipoifunga Simba siku ile Yanga ilichukua Ubingwa gani? Morrison anacheza kuisaidia Simba kushinda matches siyo kuifunga Yanga peke yake au Azam. Unataka na Ruvu nao waje waseme BM hajawah wafunga? Waje na AS. Vita, waje na Al Ahly, waje na Kaizer Chiefs? Be serious. Toeni huo mwiko huko nyuma muanze kuuelewa mpira.Jibu swali; ashawahi kufunga goli dhidi ya Yanga tofauti na alivoifunga simba pindi akiwa yanga?
Mavi kabisa Uto
Umewaza kama Mpumbavu. Kwani alipoifunga Simba siku ile Yanga ilichukua Ubingwa gani? Morrison anacheza kuisaidia Simba kushinda matches siyo kuifunga Yanga peke yake au Azam. Unataka na Ruvu nao waje waseme BM hajawah wafunga? Waje na AS. Vita, waje na Al Ahly, waje na Kaizer Chiefs? Be serious. Toeni huo mwiko huko nyuma muanze kuuelewa mpira.
Hakuna hata sehemu moja nimetukana.Mbona mnatukana? Turudi kwenye swali
Kweli mpira Tanzania bado sana,kama haya nayo tunaona maajabu katika soka
Haji alishawaambia Yanga yote hamna akili isipokuwa baba yake na JK. kama mmepata hizo akili mtuambieSio bure wewe....kwa maneno unayoandika.... kuna stage ya ukuaji wa ubongo wako ilipitia changamoto
Wamesema mechi ijayo refa ni wao, yaani Simba wakivuka tu mstari wa katikati ya uwanja, vibendera vyote vipo juu.Eti ushindi wa mchongo. Walihaha wakapoteana zikabaki ni nguvu tuu wanatumia yaniii
Nimeuliza swali nataka majibuElezea uhusiano uliopo kati ya rekodi ya Morison kuifunga Simba......na ushiriki wa Yanga na Azam kimataifa