Tulia kijana waarabu walimaliza kazi huko kisiju wakasepa zao wakuwaachia misuli na virembaKwa nini Wazaramo?
Mswahili kwa tafsiri yako ni nani?
Uswahili ni nini?
Makabila yote yaliyopakana na bahari, kwa nini Wazaramo ndio wawe wameupokea ushoga na hawa Wandengereko, wadigo, Wanyagatwa, wabondei, wasegeju, wangindo, wamatumbi, wamwela, wamakonde wasiingie?
Kama chanzo ni waarabu, kwa nini Mataifa ya Ulaya na Marekani ndio wanaushikilia ushoga na kuusapoti? Na sio Saudi Arabia?
Au Kuna mzaramo amemfilimba mkeo au wewe mwenyewe sio kwa chuki hizi?
Acha kuongea huku unabana pua mie sio mwarabuWaarabu wamejaa Nzega, Igunga vipi wale wadakama wameharibika.
Waarabu wamejaa Shinyanga mjini, Tinde, Geita, Meatu,Bariadi, Kwimba, Magu, Maswa, Buseresere mpaka chato vipi wale wasukuma wameharibika.
Acha generalization za ajabu.
Ila wa kule kwenu ni wasukuma[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28] ila wa huku pwani waarabu.
Acha double standard
Huko kwenu wanafanya nini? Au ndio wanaendeleza kazi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Tulia kijana waarabu walimaliza kazi huko kisiju wakasepa zao wakuwaachia misuli na viremba
Kwani uliambiwa Mimi msukuma[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].Acha kuongea huku unabana pua mie sio mwarabu
Kwani uliambiwa Mimi msukuma[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Hapa tunajadili tu, najua unachambia gunzi kule kwenu
Vipi na wewe shoga ?Usiseme waswahili sema wazaramo maana hao waliupokea ushoga mapema baada ya waarabu kuweka makazi yao pwani.
Waarabu sio watu wazuri wameharibu sana pwani kisha wakaondoka wakiacha kizazi cha kijinga kabisaHuko kwenu wanafanya nini? Au ndio wanaendeleza kazi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Waarabu sio watu wazuri wameharibu sana pwani kisha wakaondoka wakiacha kizazi cha kijingaVipi na wewe shoga ?
Mzee wa bwaxKuna mojaa naisikiaga nimekutana ex wangu amekonda mbwa yule
Ila kule kwenu wale waliopo wameacha kizazi Cha kijanja[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]?Waarabu sio watu wazuri wameharibu sana pwani kisha wakaondoka wakiacha kizazi cha kijinga
Kuna singeli zina mashairi yenye maudhui mazuri sana, yanayoelezea maisha ya Mtanzania halisi, usizihukumu zote kwa makosa ya chache.- Humo hakuna hoja (maudhui) ya maana, ni kuhimiza kuinama na kuonyesha namna unavyochuma tembele na mchicha tu basi!
- Juzi kati hapa niliona video moja ya singeli na hatua ya muziki wao waliyoipiga imenistua.......madensa wa kiume wanatwerk, yaani wanainama na kutikisa makalio kama wafanyavyo kina dada.
- Yote tisa, kumi nilichokisikia jana; muimbaji anaimba Singeli yake kwa kutukana kabisa waziwazi tusi kubwa la kutaja kiungo cha wazazi wetu wa kike, ajabu watu walikuwa wanajimwaga tu na kuchekelea.
- Kwenye vigodoro vya kupatia mimba wanafunzi muziki ndio mtawala!
Waarabu sio watu wazuri wameharibu sana pwani kisha wakaondoka wakiacha kizazi cha kijinga kabisaIla kule kwenu wale waliopo wameacha kizazi Cha kijanja[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]?
Mshamba wewe[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] a
Hii ndo imefanya mleta uzi audiss huu mziki,kiufupi kakuta stutus ya mtu wake imewekwa hilo songi[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mojaa naisikiaga nimekutana ex wangu amekonda mbwa yule
Nachojua unawasikia kazi wanavyofanya kule kwenu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Waarabu sio watu wazuri wameharibu sana pwani kisha wakaondoka wakiacha kizazi cha kijinga kabisa
Nimekutana na ex wangu ,Hii ndo imefanya mleta uzi audiss huu mziki,kiufupi kakuta stutus ya mtu wake imewekwa hilo songi[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuna midundo mizuri tuu ya asili kama sindimba, sangura, lizombe and many more, ambazo zikiwa modified ziko poa tuu. Hii singeli zamani ilikuwa inaitwa mchiriku ambao nao ulikuwa matusi mwanzo mwisho na ilikuwa ngoma ya wezi. Yaani ikipigwa mtaani lazima muibiwe sanaa na vurugu. Yaani mchiriku ilikuwa bora hata mdundiko ulikuwa na staha... Nashangaa leo eti nao unaitwa muziki really?? Yaani wameua muziki wa dansi wanapromoti singeli daah..Huu ndiyo mziki wetu acheneni na amapiano tembeeni kwenye singeli hadi ifike hatua burna boy anaimba kwenye mdundo wa singeli kama alivyofanya remix ya yerusalem.
Nb: huo upuuzi wa madance wa kiume kutwerk singeli ni kweli aisee na ndiyo itaharibu huu mziki, watumie madansa wa kike hao jamaa wanachafua tu huo mziki
Labda huko huko Dar aisee siyo huku mikoani...hata Hip-hop ilipitia huko, mbona wasanii wakubwa Prof Jay, Harmonize wameimba singeli ktk lugha ya kistaarabu tu... Ni vile WaTz mnapenda kushobokea miziki ya nje na hamjui lolote... Ila cha ajabu singeli ikipigwa kwenye harusi na pub zenu mnasimama kucheza ila huku mtaani mnajifanya hamuupendi...