Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
"Hiii hiii nikuogopeee eeti nisibambie nikuogope wewee
Hiii hiii akuogopeee eeti asicheze chura akuogope wewee"
Shika chini we dada usiangalie sura tikisa moja moja sijaona ukicheza chura twendeee X2
Hiii hiii nikuogopeee haunilishi haunivishi nikuogopeee wewee
Hiii hiii nikuogopeee sikujui hunijui nikuogopeee wewee
Sina fagio fagio langu la chuma kwanza hatuendani mi mzigua sijui mwenzangu "we nanii"
Sina fagio fagio langu la chuma kwanza hatuendani mi mmakonde sijui mwenzangu "we nanii"
"Jaman ule mchezo wa kususiana sijaona ukisusa hiloooo[emoji527], amekupa amekususia"X2[emoji16][emoji16]
Acha kabisa mkuu likichanganya kuna vibe lake [emoji16][emoji16]
Hiii hiii akuogopeee eeti asicheze chura akuogope wewee"
Shika chini we dada usiangalie sura tikisa moja moja sijaona ukicheza chura twendeee X2
Hiii hiii nikuogopeee haunilishi haunivishi nikuogopeee wewee
Hiii hiii nikuogopeee sikujui hunijui nikuogopeee wewee
Sina fagio fagio langu la chuma kwanza hatuendani mi mzigua sijui mwenzangu "we nanii"
Sina fagio fagio langu la chuma kwanza hatuendani mi mmakonde sijui mwenzangu "we nanii"
"Jaman ule mchezo wa kususiana sijaona ukisusa hiloooo[emoji527], amekupa amekususia"X2[emoji16][emoji16]
Acha kabisa mkuu likichanganya kuna vibe lake [emoji16][emoji16]