Singida: Adaiwa kujinyonga baada ya kufumaniwa chumbani akiwa na baba yake

Singida: Adaiwa kujinyonga baada ya kufumaniwa chumbani akiwa na baba yake

Msichana mdogo wa Kati ya umri wa miaka 17 Hadi 18 aitwaye Raheli mkaazi wa Kimpungua Manispaa ya Singida anadaiwa kujinyonga siku ya Jumapili 19/9/2021 baada ya mama yake mdogo kuwakuta wakifanya mapenzi na mume wake yaani baba mdogo wa marehemu.

Akielezea tukio Hilo mama huyo aliyejulikana kwa jina la Rehema Mathias au mama Yoabu alidai mnamo siku ya tukio walikuwa mgahawani kwao pamoja na marehemu ndipo alipomtuma kwenda kuleta maji nyumbani, alipomtuma alikawia sana hadi akamfuata nyumbani ndipo alipokutana na mechi kali ndani ya 6x6 huku mlango umefungwa, alipiga hodi mlango haukufunguliwa hadi aliporudi mgahawani na binti alimfuata nyuma akamuuliza mlifunga mlango na Baba yako kwanini akamwambia kaamulize baba. Wakarudi kwa pamoja hadi nyumbani kwao, yule mama akawauliza kwa pamoja yule jamaa aitwaye Fred akawa mbogo , lakini yule binti akafunguka kuwa huwa analazimishwaga na baba yake huyo,yule mama aliwaambia haya endeeleeni, akaondoka kwa hasira

Baada ya dakika 20 alifuatwa na Mume wake akaambiwa mtoto amejinyonga nenda nyumbani kamwone, na huyu bwana Fred alikimbilia moja kwa moja Polisi.

Idara ya Polisi upelelezi mkoa wa Singida walifika na kusema upelelezi wa awali unaonyesha kajinyonga mwenyewe, kitu ambacho kilikataliwa na ndugu wa marehemu pamoja na majirani waliokuwepo pale.

My take
Dunia imeharibika Sana aiseeee yani binti yako unamla asali

Usiseme dunia,,,ni binadamu wamebadilika.

Huyo binti huko aendako atakiona cha 🔥
 
Unakuta mdogo wake wife kaumbika ukitoka job unamkuta kavaa kanga moja kalalia tumbo kwenye koch huk anaangalia Tv mara umeingia huku umetokea kule unakutana nae anatoka kuoga kafunga kanga juu ya kifua huk chuchu zimesimama kama msumari hapo mawazo ya kishetan lazma yakupate

Wanawake wenye akil huwa wanawafundisha wadogo zao jins ya kuish na shemeji
Mdogo wake wife ni shemeji Mkuu, hakuiti baba mdogo. Na shemeji mdogo wake wife yaani hizo kesi ni nyingi sana!
 
wewe mke ziwa lishalala tako huna unaleta kamdogo kako karembo tako liko cm 50 nyuma chuchu konzi saa 6 kasoro unategemea nini aaah ila mzee angevunga tu.
Ila watu wanawezaje mbona mimi mdada wa hata secondary siwezi kumtongoza asee sijui naonaje sasa zee zima na mtoto wa 17
 
Mdogo wake wife ni shemeji Mkuu, hakuiti baba mdogo. Na shemeji mdogo wake wife yaani hizo kesi ni nyingi sana!
Uswahilini hayo mambo ya kawaiiida sana. Hukumu ingekwenda hivi:
Mama mdogo: " Pumbafu, sasa na wewe kwanini unakubali?" (makofi mawili matatu, kisha), "Usirudie tena. Haya nenda kaoshe vyombo upesi"
Mtoto: "Sawa mama sirudii"
 
Mambo mengine upuuzi mtupu.

Tuwe na stds.

Usimege mtu wa nyumba moja.

Usimege rafiki wa mpenzi wako.

Usimege workmate.

Usimege beki tatu.

Usimege mdogo au dada wa mpenzi.

Usimege mwanao.
Binafsi nimekuelewa
 
Uswahilini hayo mambo ya kawaiiida sana. Hukumu ingekwenda hivi:
Mama mdogo: " Pumbafu, sasa na wewe kwanini unakubali?" (makofi mawili matatu, kisha), "Usirudie tena. Haya nenda kaoshe vyombo upesi"
Mtoto: "Sawa mama sirudii"
Hahahahaha
 
Yaani uko ofisini, dogo anaji whatsapp status yupo mgahawani. Aisee. Na zile filter. Fred acha apewe lawama. Kuna vitu havivumliki, watoto wakisasa hawavumiliki. Ni wazuri.
 
Unakuta mdogo wake wife kaumbika ukitoka job unamkuta kavaa kanga moja kalalia tumbo kwenye koch huk anaangalia Tv mara umeingia huku umetokea kule unakutana nae anatoka kuoga kafunga kanga juu ya kifua huk chuchu zimesimama kama msumari hapo mawazo ya kishetan lazma yakupate

Wanawake wenye akil huwa wanawafundisha wadogo zao jins ya kuish na shemeji
Ukute kutwa anashindia kanga na chupi tu
Chura hiyo

Ova
 
Umasikini unachangia matukio kama haya kutokea. Rachael alikua anakaa kwa mama mdogo, mdogo wa mama yake. Inawezekana mama mdogo ana hali bora ya maisha kuliko wazazi wa Rachael.

Tunapo toa watoto kwenda kuishi wana ndugu, tiwasisitize kuwa, wawe na uhuru wa kueleza matatizo yanayowakumba. Binadamu wengine kama Fred hawaelewi kuwa maisha ni kuasidiana. Ingeweza kutokea Rachael kuwasaidia watoto wake wakati yeye akiwa na matatizo au akiwa hayupo duniani.
 
Back
Top Bottom