mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
- Thread starter
-
- #41
KabisaaUmasikini unachangia matukio kama haya kutokea. Rachael alikua anakaa kwa mama mdogo, mdogo wa mama yake. Inawezekana mama mdogo ana hali bora ya maisha kuliko wazazi wa Rachael.
Tunapo toa watoto kwenda kuishi wana ndugu, tiwasisitize kuwa, wawe na uhuru wa kueleza matatizo yanayowakumba. Binadamu wengine kama Fred hawaelewi kuwa maisha ni kuasidiana. Ingeweza kutokea Rachael kuwasaidia watoto wake wakati yeye akiwa na matatizo au akiwa hayupo duniani.
kumbe haina baya, nilidhani mtoto wa kakaake fredi,Huyu sio house girl wa Fred bali ni mtoto wa shemejii yake , Dada wa tumbo moja na Mke wake
binti angerudishwa kwao tu, angeambiwa akae kimywa asimwambie mtuUswahilini hayo mambo ya kawaiiida sana. Hukumu ingekwenda hivi:
Mama mdogo: " Pumbafu, sasa na wewe kwanini unakubali?" (makofi mawili matatu, kisha), "Usirudie tena. Haya nenda kaoshe vyombo upesi"
Mtoto: "Sawa mama sirudii"
Mamdogo alipaniki Sana akataka kuvujisha siribinti angerudishwa kwao tu, angeambiwa akae kimywa asimwambie mtu
Namba tatu...Mambo mengine upuuzi mtupu.
Tuwe na stds.
Usimege mtu wa nyumba moja.
Usimege rafiki wa mpenzi wako.
Usimege workmate.
Usimege beki tatu.
Usimege mdogo au dada wa mpenzi.
Usimege mwanao.
Namba tatu...
Hii inaumiza sana,hiyo ni abuse.Hata kama kajinyonga mwenyewe najaribu kuvaa hisia za wazazi wake.Mijanaume mingine unaiona kama iko timamu tayari wagonjwa wa akiliMsichana mdogo wa Kati ya umri wa miaka 17 Hadi 18 aitwaye Raheli mkaazi wa Kimpungua Manispaa ya Singida anadaiwa kujinyonga siku ya Jumapili 19/9/2021 baada ya mama yake mdogo kuwakuta wakifanya mapenzi na mume wake yaani baba mdogo wa marehemu.
Akielezea tukio Hilo mama huyo aliyejulikana kwa jina la Rehema Mathias au mama Yoabu alidai mnamo siku ya tukio walikuwa mgahawani kwao pamoja na marehemu ndipo alipomtuma kwenda kuleta maji nyumbani, alipomtuma alikawia sana hadi akamfuata nyumbani ndipo alipokutana na mechi kali ndani ya 6x6 huku mlango umefungwa, alipiga hodi mlango haukufunguliwa hadi aliporudi mgahawani na binti alimfuata nyuma akamuuliza mlifunga mlango na Baba yako kwanini akamwambia kaamulize baba. Wakarudi kwa pamoja hadi nyumbani kwao, yule mama akawauliza kwa pamoja yule jamaa aitwaye Fred akawa mbogo , lakini yule binti akafunguka kuwa huwa analazimishwaga na baba yake huyo,yule mama aliwaambia haya endeeleeni, akaondoka kwa hasira
Baada ya dakika 20 alifuatwa na Mume wake akaambiwa mtoto amejinyonga nenda nyumbani kamwone, na huyu bwana Fred alikimbilia moja kwa moja Polisi.
Idara ya Polisi upelelezi mkoa wa Singida walifika na kusema upelelezi wa awali unaonyesha kajinyonga mwenyewe, kitu ambacho kilikataliwa na ndugu wa marehemu pamoja na majirani waliokuwepo pale.
My take
Dunia imeharibika Sana aiseeee yani binti yako unamla asali
Ishia hapo hapo...Namba tatu inakuhusu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
Dah!kumbe haina baya, nilidhani mtoto wa kakaake fredi,