SINGIDA: Auawa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu shambani

Aisee
 
Nakumbuka nilifumaniwa karibu na mto malarasi kiukweli sikusubir mie nilijitupia mtoni bora kupambana na mamba mwenye njaa kuliko bin adam niliogelea huku nikifuatilia nyomi la watu wengine wakirusha mawe na vigongo lakini nilifanikiwa kufika ng'ambo kabla yao nikiwa kama nilivyozaliwa nilifukua mbio hata San LG ikasome sikukanyaga kijijini miaka dahali halafu nikadhani nitaacha ndo kwaanza nimenoa panga upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…