Singida Big Day: Singida Big Stars vs ZANACO

Tatizo nani atamhoji.

Esther Bus ,Esther vituo vya mafuta sasa Singida big stars ,anaandikisha tu kwa jina la mke wake Esther
Shida kupata watu sahihi hatutaki,huyu MWIGULU siyo sahihi aliona fursa binafsi za kichama lakini hayupo kiupeo na maona ya kitaifa..
 
Achukue vijana so hana malengo kwamba hii ni ligi kuu? Waliweka idea kwamba vijana ni bora na watakuwa bora kutetea ubingwa
 
Na hapa ndipo walopo kosea. Huwezi kuuza wachezaji wako watano wa first team alafu ukadhani kwamba utaweza compete. Aliofanya hiyo decision ni mtu ambaye haelewi the football industry.

So una kata budget then baada ya miaka mitatu unarudi tena kutaka kishindana. Mambo ya kuzila ni ujinga huo. Unatakiwa kuelewa football industry ikoje na ina operate vipi. Kama unataka kushindana shusha wachezaji wa ukweli and pick the best players in the country uone kama hutapata ubingwa
 
Walitolewa sadaka kwenda Simba.
 
Kocha wa Singida anahojiwa kwamba hii game ya kirafiki unachukulia kama ya ushindani na unaonaje na ile mechi ya Yanga?

Anajibu :Tumealikwa ni heshima kubwa ,siyo mara ya kwanza kuwa Tanzania.
Kwahiyo tutaenjoy game
Mhhhh! kocha wa singida au zanaco?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…