Singida Big Day: Singida Big Stars vs ZANACO

Singida Big Day: Singida Big Stars vs ZANACO

Tatizo nani atamhoji.

Esther Bus ,Esther vituo vya mafuta sasa Singida big stars ,anaandikisha tu kwa jina la mke wake Esther
Shida kupata watu sahihi hatutaki,huyu MWIGULU siyo sahihi aliona fursa binafsi za kichama lakini hayupo kiupeo na maona ya kitaifa..
 
Azam alikata bajeti ya kuendesha timu na alitema almost nusu ya kikosi chake ndani ya msimu mmoja.

Aishi Manula, Shomari kapombe , Erasto Nyoni , John Bocco, Pascal Wawa na wengine wengi walitemwa ndani ya msimu mmoja.

Azam ikaja na policy ya kusajiri vijana wadogo Kwa bei ndogo. Kama unakumbuka walienda kusajiri wachezaji wengi Kutokea Mbao FC ya mwanza ; wachezaji kama Benedict Haule N.k


Hivyo basi nakupinga kuwa Azam alichukua ubingwa Simba na Yanga zikiwa hazina pesa si kweli , Yanga pesa ilikuwepo chini ya Manji. Azam ilichukua Kwa kikosi Bora Tena Bora sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Achukue vijana so hana malengo kwamba hii ni ligi kuu? Waliweka idea kwamba vijana ni bora na watakuwa bora kutetea ubingwa
 
Azam alikata bajeti ya kuendesha timu na alitema almost nusu ya kikosi chake ndani ya msimu mmoja.

Aishi Manula, Shomari kapombe , Erasto Nyoni , John Bocco, Pascal Wawa na wengine wengi walitemwa ndani ya msimu mmoja.

Azam ikaja na policy ya kusajiri vijana wadogo Kwa bei ndogo. Kama unakumbuka walienda kusajiri wachezaji wengi Kutokea Mbao FC ya mwanza ; wachezaji kama Benedict Haule N.k


Hivyo basi nakupinga kuwa Azam alichukua ubingwa Simba na Yanga zikiwa hazina pesa si kweli , Yanga pesa ilikuwepo chini ya Manji. Azam ilichukua Kwa kikosi Bora Tena Bora sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Na hapa ndipo walopo kosea. Huwezi kuuza wachezaji wako watano wa first team alafu ukadhani kwamba utaweza compete. Aliofanya hiyo decision ni mtu ambaye haelewi the football industry.

So una kata budget then baada ya miaka mitatu unarudi tena kutaka kishindana. Mambo ya kuzila ni ujinga huo. Unatakiwa kuelewa football industry ikoje na ina operate vipi. Kama unataka kushindana shusha wachezaji wa ukweli and pick the best players in the country uone kama hutapata ubingwa
 
Azam alikata bajeti ya kuendesha timu na alitema almost nusu ya kikosi chake ndani ya msimu mmoja.

Aishi Manula, Shomari kapombe , Erasto Nyoni , John Bocco, Pascal Wawa na wengine wengi walitemwa ndani ya msimu mmoja.

Azam ikaja na policy ya kusajiri vijana wadogo Kwa bei ndogo. Kama unakumbuka walienda kusajiri wachezaji wengi Kutokea Mbao FC ya mwanza ; wachezaji kama Benedict Haule N.k


Hivyo basi nakupinga kuwa Azam alichukua ubingwa Simba na Yanga zikiwa hazina pesa si kweli , Yanga pesa ilikuwepo chini ya Manji. Azam ilichukua Kwa kikosi Bora Tena Bora sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Walitolewa sadaka kwenda Simba.
 
Kocha wa Singida anahojiwa kwamba hii game ya kirafiki unachukulia kama ya ushindani na unaonaje na ile mechi ya Yanga?

Anajibu :Tumealikwa ni heshima kubwa ,siyo mara ya kwanza kuwa Tanzania.
Kwahiyo tutaenjoy game
Mhhhh! kocha wa singida au zanaco?
 
Back
Top Bottom