Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Wachezaji wanalipwa vizuri Sana kupata makazi inawezekanaKupewa uraia wa nchi maskini hakuna shida yoyote, waafrika ni ndugu ni jamii moja, ni mipaka ya wazungu ilitutenganisha tu.
Shida itakuja pale wakishuka viwango na kuachwa na timu hiyo wataenda wapi kula ugali na sukari maana hawana ukoo bongo!! Au kwa Shem yule mrembo?
Kwa mambo haya ya kupewa uraia wachezaji wa kigeni wanapaswa sasa kuanzisha umoja wa wachezaji wa kigeni wasaidiane mmoja akipewa thank you maana hawa ni raia wenzetu bongo haina mwenyewe, ila hawana ukoo bongo, nani atawashika mkono wakifilisika? katibu awe Aziz Ki, Chama m/kiti , Dube mjumbe!! Yule Waziri aliekuwa akicheza wimbo wa Yanga Africa baada ya kushinda tano awe Mlezi wa Chama.Wachezaji wanalipwa vizuri Sana kupata makazi inawezekana
KikikikiKwa mambo haya ya kupewa uraia wachezaji wa kigeni wanapaswa sasa kuanzisha umoja wa wachezaji wa kigeni wasaidiane mmoja akipewa thank you maana hawa ni raia wenzetu bongo haina mwenyewe, ila hawana ukoo bongo, nani atawashika mkono wakifilisika? katibu awe Aziz Ki, Chama m/kiti , Dube mjumbe!! Yule Waziri aliekuwa akicheza wimbo wa Yanga Africa baada ya kushinda tano awe Mlezi wa Chama.
1. Kwa kuwa Sheria hiyo ya Uraia inatamka Wazi kwamba kabla Raia wa Kigeni (Mwombaji wa uraia) hajapatiwa Uraia wa Tanzania, Mwombaji huyo anatakiwa awe ameishi ndani ya nchi hii kwa muda wa angalau minimum miaka saba (7).Singida Black Stars imewabadilisha uraia wachezaji wake wanne wa kigeni na kuwa raia wa Tanzania, Singida imefanya hivyo ili kukidhi kanuni ya kuwa na wachezaji 12 wa kigeni.
Wachezaji hao ambao wamebadili uraia ni Emmanuel Keyekeh, Arthur Bada, Damaro Mohamedi na Golikipa Amas Obasogie.
Josaphat Arthur Bada (22) ni kiungo raia wa Côte d'Ivoire amewahi kuichezea klabu ya ASEC Mimosas na timu ya taifa Ivory Coast chini ya miaka 23
Soma pia: Idara ya uhamiaji yatoa ufafanuzi dhidi ya wachezaji wa kigeni Singida Black Stars, wote ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi
Emmanuel Keyekeh (27) kiungo mkabaji raia wa Ghana alijiunga na Singida Big Stars akitokea FC Samartex ya ligi kuu ya nchini kwao.
Pamoja na Mohamed Damaro (22), kiungo mkabaji raia wa Guinea ambaye pia ni mchezaji wazamani wa timu ya taifa chini ya miaka 18.
==
View attachment 3210345
View attachment 3210383
Hawajakidhi vigezo vya kupewa uraia, muda walioishi nchini hautoshi, tangazo la kuomba uraia halijachapishwa gazetini nk.Karibuni Watanzania wapya,ila tu muwe wazalendo wa kweli na sii wazalendo uchwara.Tanzania ni yetu sote.