Singida BS vs Yanga, hii mechi ipo fixed?

Singida BS vs Yanga, hii mechi ipo fixed?

Aisee natazama hii mechi ya Singida BS vs Yanga nashangaa kweli

Singida hawataki kushambulia Yanga halafu wanaruhusu mashambulizi mengi kiasi kuwa dakika ya 20 pekee wamesharuhusu magoli 2 uwanja wao wa nyumbani

Yaani Singida ambayo ni timu ya 3 kwa ubora ligi kuu, ikiwa imezizidi kwa ubora Azam na Geita Gold, ambazo Yanga inazifunga kwa tabu, leo inafungwa goli mbili ndani ya dakika 20 na 5 shots on target?

Hii Singida ndio ile tuijuayo?
Newcastle united vs Tottenham Hotspur
Ndani ya Dakika 20 kapigwa goli 4.

Hii inafanyika duniani achana na Tanzania peke yake.

Argentina vs France Dakika 23 mpaka dakika 79 Argentina anaongoza goal 2 kwa sifuri,ila dakika ya 8 mpaka 81 ubao unasema Argentina 2 France 2.

Wewe unaongea nini,hebu jaribu kuficha ujinga wako.
Screenshot_20230504_191540.jpg


Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Aisee natazama hii mechi ya Singida BS vs Yanga nashangaa kweli

Singida hawataki kushambulia Yanga halafu wanaruhusu mashambulizi mengi kiasi kuwa dakika ya 20 pekee wamesharuhusu magoli 2 uwanja wao wa nyumbani

Yaani Singida ambayo ni timu ya 3 kwa ubora ligi kuu, ikiwa imezizidi kwa ubora Azam na Geita Gold, ambazo Yanga inazifunga kwa tabu, leo inafungwa goli mbili ndani ya dakika 20 na 5 shots on target?

Hii Singida ndio ile tuijuayo?
Hata mechi ya jana ilikuwa fixed haiwezekani kipa Ally Salim kufungwa magoli ya aina ile ile
 
Yaani mechi zenu mtoe draw alafu mumpe mzigo singida wa kumfunga Yanga ili mfufue matumaini ya ubingwa wa ligi
 
Simba walipigwa ngapi
Simba aliifunga yanga goli mbili kwa mechi ya mzunguko wa pili magoli yakifungwa na kibu na Enonga lakini bodi ya ligi wamekataa kuipandisha Simba iongoze ligi ni fitna tu
 
Aisee natazama hii mechi ya Singida BS vs Yanga nashangaa kweli

Singida hawataki kushambulia Yanga halafu wanaruhusu mashambulizi mengi kiasi kuwa dakika ya 20 pekee wamesharuhusu magoli 2 uwanja wao wa nyumbani

Yaani Singida ambayo ni timu ya 3 kwa ubora ligi kuu, ikiwa imezizidi kwa ubora Azam na Geita Gold, ambazo Yanga inazifunga kwa tabu, leo inafungwa goli mbili ndani ya dakika 20 na 5 shots on target?

Hii Singida ndio ile tuijuayo?
YANGA ANATUMIA NGUVU KUBWA KUSHINDA LIGI KUU ILA ANACHEZA SHIRIKISHO[emoji3059]
 
Yanga timu nyingine anazifunga kwa tabu sana, mfano Geita Gold na Azam ambazo Singida amezizidi kwa uwezo, lakini hawafungwi kizembe na Yanga kama Singida
Mbona hapakuwa na goli la kizembe pale
Umeshaona magoli yanayofungwa ligi kuu au mpira wa tz kwa ujumla ni ya hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom