Singida Fountain Gate wanawatuhumu TFF na Bodi ya Ligi kwa kupewa refa huyu

Singida Fountain Gate wanawatuhumu TFF na Bodi ya Ligi kwa kupewa refa huyu

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Refa ndo alikua man of the match [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
20231009_134835.jpg
 
Refa ndo alikua man of the match [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]View attachment 2776770
Kama Singida wamefikia huku, basi bado sana kwenye ushindani. Simba wamenyimwa penalties mbili za wazi, mbona hilo hawalizungumziii? Offside ile ilihitaji marudio kwenye VAR, kwa haraka haraka ilionekana kama Offside.

Refa yule ni binadamu kama wewe ambaye hadi kugundua kuwa ni Offside umepataa msaada wa marejeo ya TV.
Niliona wachambuzi wa mpira Azam, wakirejea mara kadhaa 7X kujiridhisha, haikuwa rahisi kwa refa kuamua goli bila kupata msaada wa lines Man.
 
Kama Singida wamefikia huku, basi bado sana kwenye ushindani. Simba wamenyimwa penalties mbili za wazi, mbona hilo hawalizungumziii? Offside ile ilihitaji marudio kwenye VAR, kwa haraka haraka ilionekana kama Offside.

Refa yule ni binadamu kama wewe ambaye hadi kugundua kuwa ni Offside umepataa msaada wa marejeo ya TV.
Niliona wachambuzi wa mpira Azam, wakirejea mara kadhaa 7X kujiridhisha, haikuwa rahisi kwa refa kuamua goli bila kupata msaada wa lines Man.
Ile goli la Singida hata haihitaji VAR, wakulaumiwa sio refa, ni mshika kibendera, sijui kwa nini alifanya vile
 
Kama Singida wamefikia huku, basi bado sana kwenye ushindani. Simba wamenyimwa penalties mbili za wazi, mbona hilo hawalizungumziii? Offside ile ilihitaji marudio kwenye VAR, kwa haraka haraka ilionekana kama Offside.

Refa yule ni binadamu kama wewe ambaye hadi kugundua kuwa ni Offside umepataa msaada wa marejeo ya TV.
Niliona wachambuzi wa mpira Azam, wakirejea mara kadhaa 7X kujiridhisha, haikuwa rahisi kwa refa kuamua goli bila kupata msaada wa lines Man.
Goli la Simba lilihitaji VAR lakini goli la Singida ni uzezeta wa mshika kibendera.
 
Tutaendelea kulalamika hadi pale watakapoacha kuibeba hii timu ya kuonewa huruma na waamuzi kwa maelekezo.
Simba kuonekana anashinda mechi zake wala hakuzitishi timu kubwa kama Al ahly kipigo kipo palepale oct.20 timu bovu linashinda kwa mchongo shame on you TFF.
Hayo matoto ya wasimbe yanarukaruka tu uwanjani lakini yanashinda kwa mchongo.
 
Chakushangaza mada kama hizi kuna shabiki andazi linakuja kutukana badala ajikite kwenye uhalisia au kama unashindwa kaa kimya. Kuliko kuja na commrent za ajabu kama vile kilichotokea ni sawa kwakua imekua favor kwa timu yako. Idiots
 
Acheni kumlaumu refarii... Kwa nini hamkufunga magoli ya katikati ya uwanjan muone refa km atakataa
 
Chakushangaza mada kama hizi kuna shabiki andazi linakuja kutukana badala ajikite kwenye uhalisia au kama unashindwa kaa kimya. Kuliko kuja na commrent za ajabu kama vile kilichotokea ni sawa kwakua imekua favor kwa timu yako. Idiots
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Singida FG FC wamefungwa uwanja wa nyumbani na hata malalamiko yao hayana mashiko hata wakieleka mashtaka yao huko CAS ...
 
Back
Top Bottom