Ooooh ouk poaa poaa.Mahikaji wangu umezid kujishaua.Sasa ugumu wa maisha si kilio cha wote??Au ndo kusema nyie mna.immune na hii hali ngumu?
Tuachane na hayo
Sijasema wote bana.Nimesema asilimia kubwa.Naamin uko smart kujia tofaut ya wote na asilimia kubwa.
Hata wale watu waliozaliwa warefuuuuu kuna wanaojiua kwa kujiona tofaut na kuna wanaofurahia hiyo abnormality na wanaitumia kumake money
Kila mtu ana maisha yake binafsi hapaswi kuingiliwa.Ukweli upi?
Kweli kabisaWabongo mna penda kujipa taharuki za bure hio bendera inekwambia ukafirane? hizi nyuzi zinayakuza haya mambo indirect
Kwani bendera iko chumbani?kuna mjamaa kutoka.singida alisema tusiingilie privacy za watu za chumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Woyoooooo.[emoji12]
Ukisikia high end homo ndo huyu uncle wangu sasa.
Mbaba anashaukwa huyu[emoji16][emoji16]
Kabisaaa ukiipata niistueee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaaahahhha nimeshindwa kukuchukia.
Ngoja niingie chimbo kukutafutia dawa uache ushoga.
Mambo ya ufadhili yako na mikopo ya masharti 'nafuu'Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.
Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?
Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi sauwaaaaaahIla wewe hata Mwamposa anaweza kukuponya kweli wewe?
Ushaharibika in all senses and wayz.
Kitakachokuponya wewe ni Mungu mwenyewe afanye ishara na miujiza ili utukufu wake udhihirike.
Ugwiji ktk muktadha huu Nini..kutetea haki za mashoga,kama Lissu sio?!acha ujinga wewe unaongelea msimamo wa serikali ya 2018 kipindi inaongozwa na gwiji, tuletee ya 2023 hii serikali ya mapambio na mipasho ya Khadija kopa
Rais ameshalizungumzia hiliNajiuliza, hivi haliwezekani mabendera yao tukayaweka, >>ili kuchukuwa fedha zao lakini tukasimamia maadili yetu?<</ya kitanzania kwamba jambo hili ni NO kwa tanzania.
Wakati dunia ikienda na yake sisi watanzania tuna costumes zetu, taratibu zetu na mila zetu za jadi, zinazokataza mambo haya, hivyo twendeni na costumes zetu, katika kitu hakizuiliki duniani ni kuzuia tamaduni za Jamii fulani.
Mtoto wako akianza kulala juu ya bati utamuacha tu sbb ni maisha yake binafsi?Kila mtu ana maisha yake binafsi hapaswi kuingiliwa.
Hata akitakaaa kulala kwenye motooo, ni yeye si kaamua??Mtoto wako akianza kulala juu ya bati utamuacha tu sbb ni maisha yake binafsi?
BABA DILLISH shkamoo!Misaaaaaaaaada ni joookaaaaaaaaaaa la Maaadiliiiiiì
Moto utamkataza ila ushoga utamruhusu wkt sisi wengine tutaona bora afie kwenye moto kuliko kuwa shogaHata akitakaaa kulala kwenye motooo, ni yeye si kaamua??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Moto utamkataza ila ushoga utamruhusu wkt sisi wengine tutaona bora afie kwenye moto kuliko kuwa shoga
Uzi is still Valid.Usifungwe.Uzi ufungwe sasa.
Wewe ni taahira nini?Mkanganyiko which?
Mkanganyiko uko kichwani kwako, wahi hospitali ukakanganywe komwe hilo.
Mie sijaona sasa.Uzi is still Valid.Usifungwe.
Kuna maswali kibao nimekuuliza umeshindwa kujibu.
Jibu kwanza ndo uzi ufungwe