Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Mahikaji wangu umezid kujishaua.Sasa ugumu wa maisha si kilio cha wote??Au ndo kusema nyie mna.immune na hii hali ngumu?

Tuachane na hayo
Sijasema wote bana.Nimesema asilimia kubwa.Naamin uko smart kujia tofaut ya wote na asilimia kubwa.

Hata wale watu waliozaliwa warefuuuuu kuna wanaojiua kwa kujiona tofaut na kuna wanaofurahia hiyo abnormality na wanaitumia kumake money
Ooooh ouk poaa poaa.
 
Wabongo mna penda kujipa taharuki za bure hio bendera inekwambia ukafirane? hizi nyuzi zinayakuza haya mambo indirect
Kweli kabisa
Sidhan mtu mwenye akili zake timamu anaweza kuanza huo upuuzi kisa ameona bendera inapepea kama atafanya hivyo hio ni tabia yake
 
Woyoooooo.[emoji12]
Ukisikia high end homo ndo huyu uncle wangu sasa.
Mbaba anashaukwa huyu[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeh c ndiwooooo.
 
Ila wewe hata Mwamposa anaweza kukuponya kweli wewe?

Ushaharibika in all senses and wayz.
Kitakachokuponya wewe ni Mungu mwenyewe afanye ishara na miujiza ili utukufu wake udhihirike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi sauwaaaaaah
 
Najiuliza, hivi haliwezekani mabendera yao tukayaweka, >>ili kuchukuwa fedha zao lakini tukasimamia maadili yetu?<</ya kitanzania kwamba jambo hili ni NO kwa tanzania.
Wakati dunia ikienda na yake sisi watanzania tuna costumes zetu, taratibu zetu na mila zetu za jadi, zinazokataza mambo haya, hivyo twendeni na costumes zetu, katika kitu hakizuiliki duniani ni kuzuia tamaduni za Jamii fulani.
Rais ameshalizungumzia hili
Kwamba yale mazuri ya wageni tuyachukue yasiyofaa tuachane nayo
Kwahio hao wageni wamwage pesa zitatumbuliwa tu tunabaki na tamaduni zetu
 
 anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu

Huo ni ujinga. Huwezi acha kitu chako kisa mwingine anakitafairi tofauti. Kila mtu ana tafsiri yake kwa jambo lake.
 
Moto utamkataza ila ushoga utamruhusu wkt sisi wengine tutaona bora afie kwenye moto kuliko kuwa shoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mtoto wako wee au wangu??
 
Painted the car blue, that's for the sweat and blood ,In my red tennis shoes fool cause the pain is love, I'm bout my green (Green) So my sky's blue (Blue) Purple and the strawberry philly up in my five coupe, Yeah I'm in the yellow boss, they in the white gold You might fold I'm platinum go ask them white hoes, I got black hoes slammin cadillac do's.-------Colors
 
Back
Top Bottom