Iangalie vzrHospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.
Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?
Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Kwan ukitibiwa hapo ndo automatically unakua gay?Siwezi kwenda kutibiwa hospitali hiyo mimi,labda nipelekwe nikiwa sijitambui.
Udini umeingiaje hapaWakati wa OSMAN BEY sidhani kama wangebaki mashoga hapa duniani,,, dunia ingelikua sehemu salama, hata huyo aliesimamisha flag hiyo angejutia alichokifanya
Mama atoe tamko haraka, na kama atalikalia kimya basi waislamu na wasio waislamu tuandamane kupiga vita huu uchafu usiompendeza Mwenye enzi Mungu
Wakristo na waislam yapasa tuunganishwe kwa vitu kama hivi.Wakati wa OSMAN BEY sidhani kama wangebaki mashoga hapa duniani,,, dunia ingelikua sehemu salama, hata huyo aliesimamisha flag hiyo angejutia alichokifanya
Mama atoe tamko haraka, na kama atalikalia kimya basi waislamu na wasio waislamu tuandamane kupiga vita huu uchafu usiompendeza Mwenye enzi Mungu
Huyo ni mwanasheria anajua alichokuwa anakifanya usikute wanemtega tu hapo angejibu tofauti tusikia mengine sasa hivi!Hii ni Singida!??
Kuna kiongozi mmoja alikwisha sema hayo ni mambo ya faraghani na hatayaingilia
Ipo nje kwasababu wanao uhuruKwani bendera iko chumbani?
Empty minded[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dr usinichekeshee mie hapa? sasa straight ajitangaze iwejee?? Gay anajitangaza ili mujue uwepo wake.
Mmmm!!! Hivi nI Wao Donors wahusika wamekuambia au ni Msemaji wa Taasisi hiyo amesema au Ni kwa mtazamo wako wewe mwenyewe? Tupe chanzo cha Taarifa. Hivi rangi hizo kila zikiwekwa pamoja ni lazima iwe ni Ishara ya LGBT.....?????Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.
Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?
Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Kwa maelezo haya ina maana bendera iliyowekwa hapo Hospital ni Peace Flag(Purple up,red down).According to wikipedia;
The most common recent design is a rainbow flag representing peace, first used in Italy at a peace march in 1961. The flag was inspired by similar multi-coloured flags used in demonstrations against nuclear weapons. A previous version had featured a dove drawn by Pablo Picasso.[13]
The most common variety has seven colours—purple, blue, azure, green, yellow, orange, and red—and is emblazoned in bold with the Italian word PACE, meaning "peace".
It became popular with the Pace da tutti i balconi ("peace from every balcony") campaign in 2002, started as a protest against the impending invasion of Iraq. At that time its use was met with criticism from the Italian LGBT community for being too similar to the LGBT six-color gay pride flag (which was originally created in San Francisco California in 1979) and had started being used regularly in Italy a couple of years earlier during the 2000 inaugural WorldPride celebration in Rome.[14] The flag was flown from balconies in all Italian cities by citizens against the war. Its use spread to other countries too, and the Italian Pace was sometimes, but not everywhere, replaced with the corresponding translation in the local languages.
According to Amnesty International, producer Franco Belsito had produced about 1,000 flags per year for 18 years, and suddenly had to cope with a demand in the range of the millions.[15]
Common variations include moving the purple stripe down below the azure one, and adding a white stripe on top.
The seven-color peace flag is not to be confused with the similar six-color gay pride flag, which does not have azure, and has the colors in the opposite order with red at the top.
Acheni wenge la kifala hio ni bendera yenye rangi Saba kama upinde wa mvua kuashiria amani.
Hujui maana ya propaganda!!??Watu wamechanganyikiwa mpaka WANAFOKEA BENDERA.
Bendera ina shida gani? Kwanza imeandikwa PEACE!
Kama mtu ana hamu ya kufirwa akafirwe, tuache kusingizia BENDERA.
Ndiyo ushangae Mkuu! Sidhani kama kuna nchi tunaipita kww kuwa na uelewa finyu.Mmmm!!! Hivi nI Wao Donors wahusika wamekuambia au ni Msemaji wa Taasisi hiyo amesema au Ni kwa mtazamo wako wewe mwenyewe? Tupe chanzo cha Taarifa. Hivi rangi hizo kila zikiwekwa pamoja ni lazima iwe ni Ishara ya LGBT.....?????
Afu kudadeki watu wanapenda kudiskas ishu za ushoga!!!! Uzi ushatembea hatareeee.Ndiyo ushangae Mkuu! Sidhani kama kuna nchi tunaipita kww kuwa na uelewa finyu.
Watanzania tunaongoza!
Thuubutu. 1. Unless una uhakika kwamba bendera hiyo inamaanisha hivyo na Kikatiba sio sahihi;Kumekuchaaaaaaah
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji626][emoji626]
Inapepea hapo Makiunguu. Hayaa wapingaji uchwaraaa tokeni kupinga au mkashushe bendera pale, km kweli mko serious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtabaki kulia kwaa Keyboard, na badooo mnavojifanyaa kupiga kelelee, ndo na wao wanazidi kuwaonesha hadharani.
Mwenye nguvu ndo atajulikana sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halllah [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
PEACE [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
4 life forever [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
Kunywa K vant kubwa 3 ntakuja kulipaHii kali!!!.. tujali Tu maisha yetu kwa ambao hayatuhusu.
Kweli kabisa. Inaonekana waTz wana muda mwingi mno(Surplus time)kiasi kwamba hata hawajui wautumieje kwa manufaa yao. Kitu kidogo tu kimeonekana/kimetokea halafu na mtu anakazia shingo, anazua hoja na kutoa mapovu kana kwamba kimemgusa moja kwa moja na kinamwathiri vibaya sana.Ndiyo ushangae Mkuu! Sidhani kama kuna nchi tunaipita kww kuwa na uelewa finyu.
Watanzania tunaongoza!
Alafu kama wamejipanga wanavamia kila uzi wa hizi issue [emoji36]Basi mfirwe nyie wachache tu msihamasishe wengine. Moderator kwa nini mnaacha mashoga wanatamba humu