Badala ya kulichoma wewe ukaligawa likatumiwe na mwingine? Hukufanya vizurianaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
ACHA uboya. Ni Katiba ya nchi sio MTU.kuna mjamaa kutoka.singida alisema tusiingilie privacy za watu za chumbani.
Keyboard Worriors akina Kinuju, ussr, kijakazi, Stroke, countrywide, nigrastrata, corticopotine, kamanda asiyechoka na Shujaa mwendazake nendeni sasa mkabomoe hiyo Hospitali😅😅😅Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.
Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?
Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Kulikuwa na haja gani ya kuweka bendera hata kama ni ya peace tena hospitalini tena kwa kipindi hiki taifa lipo kwenye mkanganyiko? Hiyo peace ina kazi gani hospitalini?According to wikipedia;
The most common recent design is a rainbow flag representing peace, first used in Italy at a peace march in 1961. The flag was inspired by similar multi-coloured flags used in demonstrations against nuclear weapons. A previous version had featured a dove drawn by Pablo Picasso.[13]
The most common variety has seven colours—purple, blue, azure, green, yellow, orange, and red—and is emblazoned in bold with the Italian word PACE, meaning "peace".
It became popular with the Pace da tutti i balconi ("peace from every balcony") campaign in 2002, started as a protest against the impending invasion of Iraq. At that time its use was met with criticism from the Italian LGBT community for being too similar to the LGBT six-color gay pride flag (which was originally created in San Francisco California in 1979) and had started being used regularly in Italy a couple of years earlier during the 2000 inaugural WorldPride celebration in Rome.[14] The flag was flown from balconies in all Italian cities by citizens against the war. Its use spread to other countries too, and the Italian Pace was sometimes, but not everywhere, replaced with the corresponding translation in the local languages.
According to Amnesty International, producer Franco Belsito had produced about 1,000 flags per year for 18 years, and suddenly had to cope with a demand in the range of the millions.[15]
Common variations include moving the purple stripe down below the azure one, and adding a white stripe on top.
The seven-color peace flag is not to be confused with the similar six-color gay pride flag, which does not have azure, and has the colors in the opposite order with red at the top.
Ukishakula pesa yao huwezi kuwakwepa.
Jakaya alisema ukitaka kula shurti ukubali kuliwa [emoji38][emoji38][emoji38]
Ht mm nilikuwa na bangili zangu zina rangi rangi nyingi kwakweli nimeamua kuziharibu na kuzitupa kbs.anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
Hahahahaha CCMNi kwenye Jimbo la Nani hapa?
Pesa za Covid-19 ataweza kuwarudishia? Waliotoa ni hao hao wenye bendera yao sasa unataka afanyaje?Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Ukikubari misaada kubari na masharti ya Msaada unaopewa hutaki kataa Msaada,Siyo Makiungu Hospital pekee,hata "Consolata Hospital Ikonda" huko Makete hao waitaliano wanapeperusha hiyo bendera.
View attachment 2537615Lazima vilainishi vinagawiwa hapo!
Bendera ya katikati ni ya Vatican City (Kanisa Katoliki)Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.
Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?
Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Kwa jinsi masharti yanavyozidi kuwa magumu usishangae siku naniliu akavaa tai yenye upinde🐒Ukikubari misaada kubari na masharti ya Msaada unaopewa hutaki kataa Msaada,
Zipo 7Bendera yenye rangi nyingi.. sijui zipo ngapi.
Ndio akisaini hivyo itabidi avae tu hakuna namna hutaki acha Pesa zao usichukie kabisa, ukikubari kusaini basi kubari kugawa vilainishi kila angle ya nchi mapema bila kuchelewaKwa jinsi masharti yanavyozidi kuwa magumu usishangae siku naniliu akavaa tai yenye upinde🐒
BENDERA YENU HIYO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You know what SIKUPENDI japo sio kosa lako wewe kuwa ulivyo.Kumekuchaaaaaaah
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji626][emoji626]
Inapepea hapo Makiunguu. Hayaa wapingaji uchwaraaa tokeni kupinga au mkashushe bendera pale, km kweli mko serious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtabaki kulia kwaa Keyboard, na badooo mnavojifanyaa kupiga kelelee, ndo na wao wanazidi kuwaonesha hadharani.
Mwenye nguvu ndo atajulikana sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halllah [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
PEACE [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
4 life forever [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
True meaning ya utatoa hutoi, ukipewa usisahau ulipewa na wewe kubari kufuata walichokwambia hutaki rudisha misaada yaoNyie si mabingwa wa kupinga? Mkashushe ile benderaaa.