Sasa wanataka na wao uwepo wao utambulike eneo hilo.Hilo la kujifaragua ndo reason moja wapo ya kuwachukia MSM
Mbona straight popote tulipo iwe bar wapi hatujifaragui
Kwanini bar nzima utakuta mashoga 3 ila wanajifaragua kila mtu ajue wao ni mashoga?
Sio suala lako, hupaswi kujua.Nilitaka
kujua tu,ndugu yangu
Tatizo hiliKm yeye mtoto ameamua mie nipinge iwejee? Huyo mtoto pia ana maamuzi na maisha binafsi, hapaswi kuingiliwa.
Hii ndo shida sasa ni kama sasa mashoga tunajua wapo ila wanataka watu wajue wapo na wanatamani watu wajiunge naoSasa wanataka na wao uwepo wao utambulike eneo hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ouk thanks moaah ankoliiii. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Kuna vitu kuhusu wewe navipenda.
You seem cool and Class.
Wish usingekua shoga.
Huwa nakuonea huruma sana mkuu.Na unaonekana una roho nzuri tu mwenyewe masikini.Daah!
Anyways live your life uncle.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dr usinichekeshee mie hapa? sasa straight ajitangaze iwejee?? Gay anajitangaza ili mujue uwepo wake.Hii ndo shida sasa ni kama sasa mashoga tunajua wapo ila wanataka watu wajue wapo na wanatamani watu wajiunge nao
Sjawahi sikia campaign za watu straight wala hata watu maarufu straight hawajitangazi kua ni straight
Kazi ipo kwa MSM lazima ajitangaze
Kwako weeTatizo hili
Gay hawajifichi unajua hisia ni kama kioo.Mfano hata wewe tukikutana tu njiani tukasalimiana,kwa sisi watu wazima nitajua tu mdogo wangu wewe ni gay.Gay,s hawawezi kujificha sababu ni tatizo la kisaikolojia wala sio kimaumbileSasa huyo dogo lako hata akiwa gay akaamua kuficha asijulikane utajua?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oooh ni sawaa kwa mtazamo wakooo, hakuna wa kukupingaa.
hahahahahaMuda Sasa wa wanasingida kulinda VIJAMBIO VYENU
Ipo Makiungu Singida, wahi fasta kaishushee.Nitumie location nakuja fasta kuishusha kama mbwaimbwai tu
Nikijua si utaniunganisha na wale wanawake wasagaji niwasaidie kurudi kwenye uwanawake wao na waache kusagana wakati wanaume tupoSio suala lako, hupaswi kujua.
Yule afande bila video zake kuvuja, afu ukakutana nae mtaani ungejua km ni GAY?Gay hawajifichi unajua hisia ni kama kioo.Mfano hata wewe tukikutana tu njiani tukasalimiana,kwa sisi watu wazima nitajua tu mdogo wangu wewe ni gay.Gay,s hawawezi kujificha sababu ni tatizo la kisaikolojia wala sio kimaumbile
Yule afande bila video zake kuvuja, afu ukakutana nae mtaani ungejua km ni GAY?
Unachekeshaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee DC huu mda ukahangaike na docs ustawi wa jamii, ili upate fidia ya matunzo kwa zuriiiii.Huu uzi sichangii maana naona Kuna lishoga lipo active sana