GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Yeah ndo hivyo mkuu. Inategemea na coordinate unazikaribisha kwa kiwango gani(approximation) Singida iko Mbali sanaHicho kigezo sikukijua mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ndo hivyo mkuu. Inategemea na coordinate unazikaribisha kwa kiwango gani(approximation) Singida iko Mbali sanaHicho kigezo sikukijua mkuu.
mkuu pole kama ulikuwa hujui hii mikoa Tanzania ina umwinyi Tabora, Tanga, Kigoma, Lindi, Singida, na Dar es salaam sema biashara imeondoa ujinga dar center for goods ila enzi dar ikiitwa mzizima same applyYaani kulikuwa na shughuli tukakaa guest moja tupo wengi sasa asubuhi badala ya kusubilia wenyeji walete chai twendeni tunywe mtaani aise tulikosa
Asante, ni kweli umwinyi mwingi mno, Dar hizo biashara napo ni wageni, wenyeji wachache sanamkuu pole kama ulikuwa hujui hii mikoa Tanzania ina umwinyi Tabora, Tanga, Kigoma, Lindi, Singida, na Dar es salaam sema biashara imeondoa ujinga dar center for goods ila enzi dar ikiitwa mzizima same apply
mi nimeishi muda mrefu sana Tanga mjini yaani ni sehemu ambayo fursa hawazitaki kuzichangamkia kisa kuogopa sijui nini. wanaishi kimazoea siku zote.Asante, ni kweli umwinyi mwingi mno, Dar hizo biashara napo ni wageni, wenyeji wachache sana
Shida haupo katikatiMorogoro ndio mkoa unaopakana na mikoa mingi zaidi.
Morogoro ndio imepakana na Mikoa mingi
Vv
Inapakana na mikoa mingi na yet uko nyuma sana kimaendeleo!Simiyu, Iringa, Dodoma, Shinyanga, Arusha, Manyara, Tabora, Mbeya n.k.
Point yangu ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida.
Ukibisha bisha kwa facts.
Wale wa picha hio hapo.
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tu.
View attachment 1770189
Ni wale wale tu watusahe kwa kweli wanao oa huko mmmmi nimeishi muda mrefu sana Tanga mjini yaani ni sehemu ambayo fursa hawazitaki kuzichangamkia kisa kuogopa sijui nini. wanaishi kimazoea siku zote.
Leo ndio nimegundua kumbe Dodoma sio katikati ya nchi bali SingidaSimiyu, Iringa, Dodoma, Shinyanga, Arusha, Manyara, Tabora, Mbeya n.k.
Point yangu ni kwamba makao makuu yalipaswa yawe Singida.
Ukibisha bisha kwa facts.
Wale wa picha hio hapo.
Dodoma yenyewe imepakana na mikoa minne tu.
View attachment 1770189
Ukiongeza Zanzibar katikati ni Dodoma, uiitoa Zanzibar katikati ni Singida. Msubirie miaka laki moja ijayo Muungano hautakuwepo tutarudisha mpira Singida..[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kijiografia Singida sawa, ndiyo iliyo katikati mwa nchi na si Dodoma.
Mantiki ya kuwekwa makao makuu pale Dodoma ilikuwa kwamba ni kati kati ya nchi na si kwa kupakana na wingi wa mikoa ya jirani.
Ajikujibu NITAGPoint yako haswa ni nini? Mbona Morogoro imepakana na mikoa mingi pia?
Morogoro ndiyo mkoa mkubwa kuliko yote TanzaniaLitabora likubwa jinga, halina maendeleo [emoji3]
Mkuu mapori huwa yanajiendeleza yenyewe ?
Nikisafiri kwenda kigoma sehemu kubwa ya pori ni Tabora na Kigoma. Mkuu acha mapori yaendelee kuwepo ili tusije kukosa hewa