Singida: Rais Magufuli awasihi Watanzania kuchapa kazi. Corona haikuanzia Afrika na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo

Kahutubia Singida muda si mrefu atakuwa Manyoni then Dodoma. Kaifuata Corona halafu anaiponda. Hii Corona ukiiponda ndo inakuja kukuonyesha yenyewe ni nani.
Miezi kadhaa iliyopita alikuwa anakukosha sana ila saivi.... Duh! Humuelewi kabisa yaani
 
JPM baada ya likizo ndefu amerudi kuendela kulisukuma gurudumu la maendeleo ya Watanzania. Wenye wivu wajinyonge.
 
JPM baada ya likizo ndefu amerudi kuendela kulisukuma gurudumu la maendeleo ya Watanzania. Wenye wivu wajinyonge.
Mkuu siku hizi unabadilika kutokana na upepo unavyovuma..mwanzo ulisema anasukuma kurudumu la maendeleo akiwa ikulu Chato na wala hakua likizo.
Leo tena unasema baada ya likizo ndefu ameamua kurudi kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo.

Kesho akigeuza kurudi Chato kumwona mama then utasema amerudi tena kuendelea na majukumu.
Ukishindwa kusimamia jambo unakua kama hayawani flani hivi. Wajenzi wa uchumi wa kati.
 
Kumbe Makonda akisema anasikika.
 
kwenye janga la corona unaposema uchumi ni muhimu kuliko kitu kingine una maana uchumi ni bora kuliko UHAI. daah kama ni rais tunaye
 
Kama umechukia jinyonge.
 
kwenye janga la corona unaposema uchumi ni muhimu kuliko kitu kingine una maana uchumi ni bora kuliko UHAI. daah kama ni rais tunaye

Nchi tajiri wameshindwa kutokana na ulaghai wao itakuwa Tanzania? Tena wao wanauwezo wa kuchapish noti tu bila exchange rate yao kutetereka unaishi dunia ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…