Hivi Rais huwa mnamchukuliaje??Daa naomba Rais akiingia bungeni asiguse kitu wala eneo lolote sina imani na mazingira ya mjengo ule
Mkuu ni kweli, ukikaa ndani mwili unapungua uwezo wa kufanya kazi ,mwili unakuwa dhaifu kupambana na magonjwa pindi unapotoka njeView attachment 1454980
Kama kuna chanzo cha huu utafiti(hii habari),basi mnaojua naomba mtujuze tukasome kwa undani.
Kwani uko na ugomvi na JPM? Na akipata Corona sababu ipi ya kufanya watu washangae ikiwa hao uliowataja ni maarufu huenda zaidi ya JPM nao wapeipata hiyo Corona. Sasa JPM ikiwa atapata Corona ndo iwe nongwa kwako, naye atapona kama walivyopona hao.
Binafsi sijawahi kumsikia JPM akiudharau huu ugonjwa zaidi ya kutuhamasisha tuchukue tahadhari lkn tuondoe hofu, na hata leo tu ametusisitizia kuchukua tahadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Rais huwa mnamchukuliaje??
Mkuu hiyo ni taasisi moja nyeti mno duniani kuna watu hawalali usiku na mchana kuhakikisha Rais yupo salama,heri wafe wao kuliko mkuu wa nchi,harafu unakuwa na mawazo siple tu namna hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
No relevant of your argument.Una akili zitumie.
Ukiambiwa karushe mawe kwenye geti la ikulu utaenda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa alivyorudi safi sana