Singida: Rais Magufuli awasihi Watanzania kuchapa kazi. Corona haikuanzia Afrika na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo

Daa naomba Rais akiingia bungeni asiguse kitu wala eneo lolote sina imani na mazingira ya mjengo ule
Hivi Rais huwa mnamchukuliaje??
Mkuu hiyo ni taasisi moja nyeti mno duniani kuna watu hawalali usiku na mchana kuhakikisha Rais yupo salama,heri wafe wao kuliko mkuu wa nchi,harafu unakuwa na mawazo siple tu namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaache haka kauza bia kanakelele za mabwana zake
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…