Singida: Tundu Lissu aongea na Waandishi wa Habari wa Ndani na wa Kimataifa

Singida: Tundu Lissu aongea na Waandishi wa Habari wa Ndani na wa Kimataifa

IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Mkiambiwa ukweli mnaishia kuignore, hampendi kusikia ukweli, ndio mpewe inchi?
Jf ina member wangapi?
Utachungulia tu
Kumbe nchi unatoa wewe kana kwamba ni mali ya wazee wako, ikiwa ni hivyo hakuna haja ya 'igizo' linaloitwa uchaguzi
Sasa kama tu serikali za vijiji ni hivi, CCM ikiambiwa haishindi kwa haki, kwa nini makada mrengwa mkali mnapaniki?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongea na Waandishi wa Habari huko Singida, Mkutano uliopangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa Katoliki.

Inatarajiwa Mtikisiko Mkubwa sana kutokea Nchini Tanzania.

Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kote Duniani Hii hapa

View attachment 3149735
bilashaka yoyote atatumia muda mrefu mno kuzungumzia mambo yake binafsi na kulalamikia tukio la kupigwa risasi, madai yake ya pesa za matibabu ambayo hayalipiki na kwa kiasi kidogo zaidi atazingumzia pesa alizoomba kuchangiwa anunue gari la kifahari.

na kwa uchache zaidi atazingumzia uchaguzi wa serikali za mitaa ambao yeye sio mkazi wa eneo lolote nchi na wala sio mpiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kubwa zaidi ataelezea anahamia chama gani cha siasa 🐒
 
Kumbe nchi unatoa wewe kana kwamba ni mali ya wazee wako, ikiwa ni hivyo hakuna haja ya 'igizo' linaloitwa uchaguzi
Sasa kama tu serikali za vijiji ni hivi, CCM ikiambiwa haishindi kwa haki, kwa nini makada mrengwa mkali mnapaniki?
Inchi inapewa kwa kura
 
Mapadri na maaskofu wanaikumbatia chadema, mikutano ya chadema yote inafanyika kanisani
Sasa hapo tusemeje zaidi ya kuwa chama cha wagalatia ,
Wakitafutwa wahojiwe wanakimbilia kanisani, misikitini aaaa, halafu mnataka kura za waislamu? Never
Mtu anapozibwa sehemu za kupumulia kama pua, mdomo, na zingine! Manake unamruhusu atumie sehemu nyingine zisizo rasmi kupumulia!!!
 
Back
Top Bottom