Singida: Tundu Lissu aongea na Waandishi wa Habari wa Ndani na wa Kimataifa

Singida: Tundu Lissu aongea na Waandishi wa Habari wa Ndani na wa Kimataifa

Magufili ndo muanzilishi wa huu uhuni wa kishamba
Uwongo.

Tatizo ni kwamba Tanzania kuna Katiba ya nchi ambayo ni mbovu Sana, tena ni Katiba mbaya.

Kiini cha tatizo ni Katiba mbaya tuliyonayo Wala siyo Magufuli Kama unavyofikiri.

Tunahitaji Katiba Mpya iliyo nzuri ili kuondokana na majanga Kama haya.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongea na Waandishi wa Habari huko Singida, Mkutano uliopangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa Katoliki.

Inatarajiwa Mtikisiko Mkubwa sana kutokea Nchini Tanzania.

Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kote Duniani Hii hapa

View attachment 3149735
Refüjü yangu kipenzi Erythrocyte ungejua litakalotokea usinge publisize hii! TL amewavua nguo hadharani. Au omba mods waufute huu uzi.

Nilikueleza aliyeyaua maridhiano ni TL na msimamo wa kugombea urais, ukaniona juha. Leo hata Retired anabubujika machozi siyo ya FURAHA bali huzuni. Na bado TL atatoa na kiasi MBOWE wako alipata.

Wabaya wa JPM mnaumbuka taratibu
 
Refüjü yangu kipenzi Erythrocyte ungejua litakalotokea usinge publisize hii! TL amewavua nguo hadharani. Au omba mods waufute huu uzi.

Nilikueleza aliyeyaua maridhiano ni TL na msimamo wa kugombea urais, ukaniona juha. Leo hata Retired anabubujika machozi siyo ya FURAHA bali huzuni. Na bado TL atatoa na kiasi MBOWE wako alipata.

Wabaya wa JPM mnaumbuka taratibu
This is rubbish!
 
Tutajie hao waandishi wa habari wa kimataifa waliokuwepo
 
Refüjü yangu kipenzi Erythrocyte ungejua litakalotokea usinge publisize hii! TL amewavua nguo hadharani. Au omba mods waufute huu uzi.

Nilikueleza aliyeyaua maridhiano ni TL na msimamo wa kugombea urais, ukaniona juha. Leo hata Retired anabubujika machozi siyo ya FURAHA bali huzuni. Na bado TL atatoa na kiasi MBOWE wako alipata.

Wabaya wa JPM mnaumbuka taratibu
Huna uwezo wa kupotosha, kajifunze tena
 
Samia anajiharibia mwenyewe hana wa kumlaumu heshima yote imeharibiwa na aliowaamini pamoja nayeye mwenyewe kifupi inaonekana 4R ni utapeli tu na huu UCHAGUZI ndio umefanya serikali na ccm kuchukiwa mara dufu ! Speech ya Katibu wa TEC imehuzunisha wengi sana hata wanaoiunga mkono hiyo serikali.
Kuchukiwa na Nani ....mm na familia yngu tunampenda rais wetu
Hatujaona baya analofanya kazi zinaenda kma kawa
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongea na Waandishi wa Habari huko Singida, Mkutano uliopangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa Katoliki.

Inatarajiwa Mtikisiko Mkubwa sana kutokea Nchini Tanzania.

Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kote Duniani Hii hapa

View attachment 3149735
UNGEJUWA ANAENDA KULETA TAHARUKI K WENYE CHAMA KWA HAYO ATAKAYOONGEA USINGELETA HIZI MBWEMBWE ZAKO
 
Back
Top Bottom