Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Swali lako linahusiana na msiba?Kwani KIKAO CHA kamati KUU hakikufanyika? Kama walivyotutangazia
Kikao cha kamati kinazuia mazishi!.Kwani KIKAO CHA kamati KUU hakikufanyika? Kama walivyotutangazia
MMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.
Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.
View attachment 3165797View attachment 3165799
Mungu ibariki Chadema
Mungu baba Ibariki CHADEMA na watu wake wote..🙏🏾🙏🏾💪🏿Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.
Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.
View attachment 3165797View attachment 3165799
Mungu ibariki Chadema
Askari magereza ni polisi!?Swali lako linahusiana na msiba?
AminaM
Mungu baba Ibariki CHADEMA na watu wake wote..🙏🏾🙏🏾💪🏿
Hivi Lissu naye alipiga kura?Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.
Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.
View attachment 3165797View attachment 3165799
Mungu ibariki Chadema
Kabla hatujakujibu, lipo swali lingine, Je ni Jukumu la Askari Magereza kufanya Doria mitaani?Askari magereza ni polisi!?
Kuna Polisi Magereza, Polisi JW, Polisi tiss, Polisi Uhamiaji, Polisi Reli, Polisi Bandari, Polisi Traffic, Polisi Upelelezi nk....nk so usikariri 😂Askari magereza ni polisi!?
Swali lako ni la kijingaHivi Lissu naye alipiga kura?
Na jibu lako ni la kijinga!Swali lako ni la kijinga
Hakuna kipimo cha kupima ujinga WA MTU ila maneno yakeHivi Lissu naye alipiga kura?
Ndo maana nasema mtu yeyote wa kuisaliti chadema ajue yupo na safari ngum mbele yake , mtu wa namna hii haitakiwi kuvumiliwa ndani ya chama.Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.
Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.
View attachment 3165797View attachment 3165799
Mungu ibariki Chadema
Naona umeamua kunywa kamasiKuna Polisi Magereza, Polisi JW, Polisi tiss, Polisi Uhamiaji, Polisi Reli, Polisi Bandari, Polisi Traffic, Polisi Upelelezi nk....nk so usikariri 😂
Jibu swali acha ujinga!Hakuna kipimo cha kupima ujinga WA MTU ila maneno yake