Mwana parokia
Senior Member
- Sep 27, 2023
- 129
- 212
Stupid wote Hawa ni POLISI !!Kuna askari polisi(jeshi la polisi), askari magereza (jeshi la magereza), askari uhamiaji,askari jeshi(tpdf)jwtz),askari wanyamapori na jeshi la mambo
😂Wamezikwa wapi? Kumuamini Makalla unapaswa kuwa Mwehu.
Kwani yule aliyekwenda kariakoo na nguo ya chama cha kijani kwenye kuporomoka kwa jengo alifanya hivyo kwa sababu gani wakati lilikuwa ni tukio la kitaifa? Hapo aliyeuliwa ni mwanachama wao na ameuliwa kwa maagizo ya ccm na policcm kutekeleza hilo.Kwhy msiban na bendereza za chama tena au sijaelewa 😅😅
Daruso hawauani. Kuuwana ni matokeo ya uchafuzi tu.Imeandikwa historia mbaya sana kuuwana kwenye viuchaguzi vidogo vidogo kama vya Daruso 🐼
Hotuba ya Lissu kwenye msiba huo ni motoDamu yake haitaenda Bure.
Tena ujinga wa porini!Swali lako ni la kijinga
Mikono ya maCCM imejaa damu za raia wasiokuwa na hatia. Haya mase.nge yamelaaniwa na Mungu ndio na kubadikiwa na shetwani.Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.
Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.
View attachment 3165797View attachment 3165799
Mungu ibariki Chadema
Jikite kwenye madaMbowe yukowp?
Umeleta hoja ya maana sanaCHADEMA wazisaidie zile kaya ambazo watu wake wameuliwa na CCM
Kama una access ya viongozi washauri hata kila kaya kupewa mtaji wa milioni 3 kusaidia yatimaUmeleta hoja ya maana sana
Unataka kumteka?Mbowe yukowp?
Lissu amechoka kuongozwa na VILAZAKwani KIKAO CHA kamati KUU hakikufanyika? Kama walivyotutangazia
Imefika hiyo mkuuKama una access ya viongozi washauri hata kila kaya kupewa mtaji wa milioni 3 kusaidia yatima
Hujui kitu wewe, Shut Up!!Lissu amechoka kuongozwa na VILAZA