KERO Singida: Wanawake wanachota maji kwenda nayo Zahanati wakati wa kujifungua katika Kijiji cha Dominiki

KERO Singida: Wanawake wanachota maji kwenda nayo Zahanati wakati wa kujifungua katika Kijiji cha Dominiki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Wanawake katika Kijiji cha Dominiki, Kata ya Mwangeza, Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida wamedai wanalazimika kuchota maji dumu 6 hadi 12 ambayo watauatumia wakati wa kupata huduma ikiwemo Huduma ya matibabu katika Zahanati ya Domoniki inayopatikana kwenye kata hiyo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema hali ya upatikanaji wa maji katika kijiji hicho ni shida na wanalazimika kuamka saa tisa usiku ili kutafuta huduma ya maji.

Wamesema wanapoenda katika Kituo cha Afya hususani Wanawake wanaotaka kujifungua wanalazima kuchota maji dumu sita hadi 12 ili waweze kupatiwa huduma kwenye vituo vya afya.

Akizungumzia changamoto hiyo, Diwani wa Kata ya Mwangeza, Samwel Charles Bosco amesema Wananchi hao sasa wana rangi mbili yeupe na yeusi, hiyo yote ni kutokana na uhaba wa maji unaowakabili katika eneo hilo.

Aidha, Muuguzi wa Zahanati hiyo, Madili Adhyambo ameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la karibu kwani bila maji ya uhakika kituoni hapo inawafanya kutokutoa huduma katika mazingira salama.

Ufafanuzi wa Mamlaka, soma hapa ~ Singida: Serikali yakiri Kijiji cha Dominiki kina changamoto ya maji, yaelezea mipango
 
Inasikitisha sana

Na Mbunge wao bungeni huwa anaongelea nini?

Wafanyakazi wa Aweso wapo wapi?

Tatizo nchi hii na mawasiliano na teknolojia yote.. bado hawana mifumo ya kujua na kutatua matatizo ya wananchi kwa urahisi.. Hata kama Nitachukua muda kidogo kuandaa kwa bajeti.. Ila inakuwa kwenye laini na kuweka hata chochote kama hapo kutatua haraka.
 
Sito danganya, kwenye maisha yajayo nikiwa mkuu wa usalama wa taifa.

nita punguza vichwa vingi vya viongozi machawa, machawa kuanzia Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah au hata huyo the king or queen.
Utakufa kwa roho yako Mbaya na chuki binafsi. Hakuna chizi anayeweza kupewa kitengo nyeti. Kwa hiyo futa kabisa hizo ndoto zako.
 
Wakina mwiguru walioweka saini za pesa wanavyo kutazama mtoa mada.
IMG_0456.jpeg
 
Wanawake katika Kijiji cha Dominiki, Kata ya Mwangeza, Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida wamedai wanalazimika kuchota maji dumu 6 hadi 12 ambayo watauatumia wakati wa kupata huduma ikiwemo Huduma ya matibabu katika Zahanati ya Domoniki inayopatikana kwenye kata hiyo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema hali ya upatikanaji wa maji katika kijiji hicho ni shida na wanalazimika kuamka saa tisa usiku ili kutafuta huduma ya maji.

Wamesema wanapoenda katika Kituo cha Afya hususani Wanawake wanaotaka kujifungua wanalazima kuchota maji dumu sita hadi 12 ili waweze kupatiwa huduma kwenye vituo vya afya.

Akizungumzia changamoto hiyo, Diwani wa Kata ya Mwangeza, Samwel Charles Bosco amesema Wananchi hao sasa wana rangi mbili yeupe na yeusi, hiyo yote ni kutokana na uhaba wa maji unaowakabili katika eneo hilo.

Aidha, Muuguzi wa Zahanati hiyo, Madili Adhyambo ameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la karibu kwani bila maji ya uhakika kituoni hapo inawafanya kutokutoa huduma katika mazingira salama.
Mitano tena
 
kadanse la mama.....tuna safari ndefu yote hii ni sifa za uongo anazo pewa
 
Utakufa kwa roho yako Mbaya na chuki binafsi. Hakuna chizi anayeweza kupewa kitengo nyeti. Kwa hiyo futa kabisa hizo ndoto zako.
Mimi kwa maisha yangu ya Dunia hii, Sina noma na kenge maji ka wewe.

na Kama vipi niku geuze kasuku, Nita kuwa nakupa month payment.

ila kazi yako ni kuni somea nyuzi za jf, ka uko tayari sema hapa hapa.
 
Wanawake katika Kijiji cha Dominiki, Kata ya Mwangeza, Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida wamedai wanalazimika kuchota maji dumu 6 hadi 12 ambayo watauatumia wakati wa kupata huduma ikiwemo Huduma ya matibabu katika Zahanati ya Domoniki inayopatikana kwenye kata hiyo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema hali ya upatikanaji wa maji katika kijiji hicho ni shida na wanalazimika kuamka saa tisa usiku ili kutafuta huduma ya maji.

Wamesema wanapoenda katika Kituo cha Afya hususani Wanawake wanaotaka kujifungua wanalazima kuchota maji dumu sita hadi 12 ili waweze kupatiwa huduma kwenye vituo vya afya.

Akizungumzia changamoto hiyo, Diwani wa Kata ya Mwangeza, Samwel Charles Bosco amesema Wananchi hao sasa wana rangi mbili yeupe na yeusi, hiyo yote ni kutokana na uhaba wa maji unaowakabili katika eneo hilo.

Aidha, Muuguzi wa Zahanati hiyo, Madili Adhyambo ameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la karibu kwani bila maji ya uhakika kituoni hapo inawafanya kutokutoa huduma katika mazingira salama.
Wanawake katika Kijiji cha Dominiki, Kata ya Mwangeza, Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida wamedai wanalazimika kuchota maji dumu 6 hadi 12 ambayo watauatumia wakati wa kupata huduma ikiwemo Huduma ya matibabu katika Zahanati ya Domoniki inayopatikana kwenye kata hiyo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema hali ya upatikanaji wa maji katika kijiji hicho ni shida na wanalazimika kuamka saa tisa usiku ili kutafuta huduma ya maji.

Wamesema wanapoenda katika Kituo cha Afya hususani Wanawake wanaotaka kujifungua wanalazima kuchota maji dumu sita hadi 12 ili waweze kupatiwa huduma kwenye vituo vya afya.

Akizungumzia changamoto hiyo, Diwani wa Kata ya Mwangeza, Samwel Charles Bosco amesema Wananchi hao sasa wana rangi mbili yeupe na yeusi, hiyo yote ni kutokana na uhaba wa maji unaowakabili katika eneo hilo.

Aidha, Muuguzi wa Zahanati hiyo, Madili Adhyambo ameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la karibu kwani bila maji ya uhakika kituoni hapo inawafanya kutokutoa huduma katika mazingira salama.
 

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom