KERO Singida: Wanawake wanachota maji kwenda nayo Zahanati wakati wa kujifungua katika Kijiji cha Dominiki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mimi kwa maisha yangu ya Dunia hii, Sina noma na kenge maji ka wewe.

na Kama vipi niku geuze kasuku, Nita kuwa nakupa month payment.

ila kazi yako ni kuni somea nyuzi za jf, ka uko tayari sema hapa hapa.
😁😁😁
 
Akizungumzia changamoto hiyo, Diwani wa Kata ya Mwangeza, Samwel Charles Bosco amesema Wananchi hao sasa wana rangi mbili yeupe na yeusi, hiyo yote ni kutokana na uhaba wa maji unaowakabili katika eneo hilo.
Aliyeelewa hapa anifafanulie tafadhali.
 
Na Kiongozi wa nchi ni mwanamke mwenzao,ila yupo bize kukata keki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…