Singida yaanza bila nyota wake muhimu dhidi ya Yanga, Marouf Chakei hayupo Kikosini kabisa

Singida yaanza bila nyota wake muhimu dhidi ya Yanga, Marouf Chakei hayupo Kikosini kabisa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Singida Black Stars imefanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chake kinachoanza dhidi ya Wananchi, Young Africans Sc katika dimba la KMC Complex.

Wachezaji wazawa 7 wamepewa nafasi ya kuanza huku wakali kama Ande Cyrille, Arthur Bada, beki kitasa Anthony Tra Bi Tra, kiungo Morris Chukwu na mshambuliaji Jonathan Sowah ambaye amefunga mabao mawili katika mechi tatu za mwisho wakianzia benchi.

1739795819379.png
 
Kama wako serious mbona na hao wazuri tuu sema kama mifuko imajaa u GSM miguu itakua mizito kukimbia...
Mbona wametoa droo na JKT ina wazawa wote...
Shida ni mahabaaaa
 
Tuna mechi Moja tu ya kuangalia Leo ni kati ya Fountain Gate vs Tabora basiiii!

Yanga na shoga ake hao hakuna kitu
 
Kama wako serious mbona na hao wazuri tuu sema kama mifuko imajaa u GSM miguu itakua mizito kukimbia...
Mbona wametoa droo na JKT ina wazawa wote...
Shida ni mahabaaaa
Ukiandika spana kama hizi unamalizia kwa kumtag Aden Rage.
 
Back
Top Bottom