King Sulyman87
Member
- May 20, 2020
- 33
- 26
Jamani Kama Kuna single mom Basi njoo tuyajenge nami no single dad ninaishi Dar es salaam,upeweke umenichosha njoo kipenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaaaaaa yaan watu sijui uwa wanaiman ipi Tena kwa mwaume akisikia mwanamke ana mtoto au watoto daaahTunachokipitia sio rahisi MTU ambae hana situation kama yetu kikielewa
Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
Njooo pm pleaseKabisaaaaaaa yaan watu sijui uwa wanaiman ipi Tena kwa mwaume akisikia mwanamke ana mtoto au watoto daaah
Embu mtwambie uwa mnawaza nn mkisikia kau iyo
SIJAOLEWA NINA MTOTO
Very sorryAm single faza, mwanangu ametimiza two years juzi tu.
Mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
AiseeeeDaah kweli dunia duara. nikikumbuka wadada walivyokuwa wanatunyanyapaa kwenye ile foolish age kwa kutudisi sie wa age yao na kuwapapatikia mahendsam na wenye nazo hata km wamewazidi umri ...daah siwezi kusahau. leo wamekula kibuti wameachiwa mbegu wanalialia eti ooh masingo maza tunahtaj faraja nyambaff.. kweli mungu analipa hapahapa duniani.
Njoo pm mremboMbona mirejesho hakuna jamani???
Daah kweli dunia duara. nikikumbuka wadada walivyokuwa wanatunyanyapaa kwenye ile foolish age kwa kutudisi sie wa age yao na kuwapapatikia mahendsam na wenye nazo hata km wamewazidi umri ...daah siwezi kusahau. leo wamekula kibuti wameachiwa mbegu wanalialia eti ooh masingo maza tunahtaj faraja nyambaff.. kweli mungu analipa hapahapa duniani.
Njoo pm mrembo
Single father nipo hapa jamani nahitaji mwenza(single mother) naishi Dar es salaam